Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,673
- 21,116
Stefano Mtangoo,
Mkuu kwani hiyo laki 5 sio pesa?
Mkuu kwani hiyo laki 5 sio pesa?
Usipoielewa barua kuna uwezekano hukuandikiwa wewe.Mkuu kwani hiyo laki 5 sio pesa?
Sawa lakini a mixture of them inaweza kutoa mafanikio mapema. I am just thinking aloud unaonaje?mukaruka mzee,
Mentor lazima awe ni mtu. Ukihitaji ushauri huwezi kukiendea kitabu na wala ukiwa unapotoka kitabu hakiwezi kukukemea na kukurekebisha, au kukutia moyo na kujadili suluhu
Vitabu kazi yake ni kukupa ufahamu. Ndio maana ni muhimu kuangalia mwandishi wa kitabu anaongelea nadharia au kuna na experience yake ndani. Pia ni vyema kuchagua vitabu ambavyo ni halisia kuliko "motivational".Sawa lakini a mixture of them inaweza kutoa mafanikio mapema. I am just thinking aloud unaonaje?
Mentors wapo ingawa inabidi uwatafute sana. ukiwakosa, Inawezekana tatizo likawa kwa mtafutaji. Kuwa mwanafunzi wa mtu inahitaji unyenyekevu wa kutulia, kusikiliza ulichoambiwa na kukifanyia kazi hata kama hukipendi.Ni kweli nakubaliana na hoja hiyo, lakini kama humpati huyo MENTOR unafanyaje na wewe unahitaji kutoka kupitia biashara fulani? Hiyo ndiyo hoja. MENTORS hawapatikani unajikwamuaje mwenyewe?
sio sosho midya zote za kuquit,,,sasa ungekuwa umekwit JF unafikiri hii post ungeionaje?Huu uzi ndo resolutions zangu twenty twenty
1.quit social media..am nw a you tuber! Nimefanikiwa kwa jf kwa 90%
2.kusoma vitabu walau page 1daily..( Veronica must die)
3.my mentor nadhan ni centonomy na TEDx series!
...its not scary as it looks!√
Congrat miss.Huu uzi ndo resolutions zangu twenty twenty
1.quit social media..am nw a you tuber😊! Nimefanikiwa kwa jf kwa 90%
2.kusoma vitabu walau page 1daily..( Veronica must die)
3.my mentor nadhan ni centonomy na TEDx series!
...its not scary as it looks!√
Huu uzi ndo resolutions zangu twenty twenty
1.quit social media..am nw a you tuber😊! Nimefanikiwa kwa jf kwa 90%
2.kusoma vitabu walau page 1daily..( Veronica must die)
3.my mentor nadhan ni centonomy na TEDx series!
...its not scary as it looks!√
... Nimemanisha nalearn a lot from you tube nwChannel yako youtube inaitwaje tukuongezee views na subs.