Umuhimu wa kuanzisha chama cha ukombozi wa Mtanzania

Mkuu tatzo siyo kuanzisha chama tatzo ni watu!
Badala ya kuhubiri kushindwa kwao bila wazo ya jinsi gani kuboresha, basi labda ungeinuka. Manake kazii hii inakuhusu pia. Unaonaje ukaanzisha chama chenye mtazamo wa kumkomboa mtanzania mzalendo na kuleta tangible results?
 
Jamaa yupo correct some how pia nasisitiza kuna jamaa alisisitiza kuwa wana jf tujitahidi kuwa open minded tusilalie upande mmoja sana kuwa tunasuport hoja kwa sababu zimebase katika chama tukipendacho hata kama hazina msingi au kucrush hoja za chama kingine hata kama ni za msingi. Wote tupo hapa kuelimishana mwisho wa siku kila mtu atachuja na kujua wapi imani na akili yake vinampeleka
 
Mkuu sasa subili chama kutoka mbinguni na viongozi wake watakuwa malaika!
 
What is the way forward?
Tuanzishe chama kipya, Tuboreshe vyama vilivyopo, tufute kabisa vyama vyote ama tufanyeje?
 
Acha kuzunguka mbuyu..! Hoja yako ni ya-kinafiki kuwa cdm haiwezi kumkomboa mtz, Endelea kutokuona!
 
Tatizo nililoligundua kwako ni kuwa wewe ni mwepesi wa kukata tamaa pindi ukutanapo na changamoto katika harakati za kutaka kutimiza malengo yako,
Dawa ya changamoto si kuikimbia bali ni kukabiliana nayo ili uweze kuachieve your goal.
Usiamue kuwa mpagani eti kisa hakuna dini itakayokufikisha mbinguni/peponi kwa sababu tu umesikia kuna mashekhe au mapadri mashoga.
Simamia na kupigania unachokiamini, ukombozi wa taifa hili hautaletwa na viongozi wa vyama vya siasa bali utaletwa na watanzania wenyewe yaani mimi na wewe.
 
Tatizo nililoligundua kwako ni kuwa wewe ni mwepesi wa kukata tamaa pindi ukutanapo na changamoto katika harakati za kutaka kutimiza malengo yako,
Dawa ya changamoto si kuikimbia bali ni kukabiliana nayo ili uweze kuachieve your goal.
Usiamue kuwa mpagani eti kisa hakuna dini itakayokufikisha mbinguni/peponi kwa sababu tu umesikia kuna mashekhe au mapadri mashoga.
Simamia na kupigania unachokiamini, ukombozi wa taifa hili hautaletwa na viongozi wa vyama vya siasa bali utaletwa na watanzania wenyewe yaani mimi na wewe.

MKUU Mr. ABLE!

Tatizo la huyu jamaa, sio kukata tamaa. Ni wale watu wa "BORA KUMEKUCHA". Vinginevyo ndio wale watu wanao amini kwamba "SHETANI AKIZEEKA HUGEUKA KUWA MALAIKA".
 
Chama chochote hakiwezi hata hicho ulichokitaja.
Acha kuzunguka mbuyu..! Hoja yako ni ya-kinafiki kuwa cdm haiwezi kumkomboa mtz, Endelea kutokuona!
 
Huyo nigamba,na anatamani vyama vyote vife ili andelee kutugandamiza.hivi unafikiri upinzani ukifa ccm wataondoka wenyewe? Achaujinga kawakusanye watoto wako na uwaeleze huo ----- nyuma kwako
 
MKUU Mr. ABLE!

Tatizo la huyu jamaa, sio kukata tamaa. Ni wale watu wa "BORA KUMEKUCHA". Vinginevyo ndio wale watu wanao amini kwamba "SHETANI AKIZEEKA HUGEUKA KUWA MALAIKA".

Huyu GOOGLE anahitaji kuelimishwa ili apate ukombozi wa kifikra kwanza, sio kosa lake kuleta uzi huu ila ni jinsi akili yake inavyomtuma ndo maana bado anaendelea kupata matibabu ya utindio wa ubongo hapo MIREMBE HOSPITAL
 
Upinzani waungane kwanza ndo tujue sio wabinafsi na wako serious. Nyumba iliyofitinika haiwezi kusimama. Ukiwa mchoyo wa madaraka ni mchoyo tu kama wengine na huwezi kujitofautisha na fisadi wa kawaida ufisadi sio lazima kwenye pesa peke yake ht kwenye madaraka upo. Unganeni basi tujue weupe wa mioyo yenu.
 
Heri ya Mwaka mpya wana JF!

Nimekuwa nikifuatilia siasa za Tanzania ndani ya vyama mbalimbali nimekuja kungundua hakuna chama chochote hapa kwetu Tanzania chenye uwezo na nia ya kumkomboa mwananchi (Mtanzania) na kumpa maisha bora na yenye neema.

Si CUF na si CHADEMA na wala si hawa CCM walioshindwa kabisa toka uhuru! Vyama vyetu vimejaa nyufaa. Na ndani ya vyama vyetu vyote kuna matatizo makubwa ya mifumo, uongozi, ufisadi, rushwa, ukandamizaji, unyonyaji na tamaa mbaya ya madaraka.

Hakika si rahisi kuwa na chama kikamirifu kwa asilimia mia moja,Tokea uhuru tumekuwa na chama kilekile hadi leo kama ni mtu amezeeka sasa na anahitaji kupumzishwa. Lakin kwa kundi kubwa la vijana tuweni makini na tusikubali kundanganywa na mtu au chama chochote kile cha siasa na kukiamini kuwa ndo mkombozi wetu, kikubwa na cha kuamini ni kupunguziwa matatzo, kuonja malezi ya baba (Chama) kingine na wala siyo kumaliziwa matatizo yetu kwa asilimia mia moja hii ni tahadhali tu.

Mara nyingi kauli za namna hii utolewa na watu wasiotaka au wanaoogopa mabadiliko. Je wewe uko kundi gani - wasiotaka au wanaoogopa? Hakika pia ni kuwa chama tawala umekiweka ili kujustfy tu hoja yako. Unataka vyama vitoke nje ya nchi ndiyo uviamini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom