Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Namshukuru mwenyezi,sifa na takbira.
Labana afanya kazi,akifata yake dira.
Humpa naye mridhi,jazha nema ongezea.
Humnyima kwa uwazi,yule anaye mkusudia.
Huyu ndio Mwenyezi,Mungu tunaye msujudia.
Mbingu yake ardhi,kwa ajabu ameumba.
Adam wake mwenzi,Hawa kumuwekea.
Mwanamke akamuenzi,sifa zake jaalia.
Kwenye zake tenzi,vitabuni utakuta.
Quraani ina mengi,yale kwenye Bibilia
Hili Swali watenzi,majibu nina yatakaa.
Moyo kitu thamani,nani anza umizaa?
Turudi kule bustanini,Maisha yalipoanza
Adam kwenda porini,mwanamke aka data
Kam-ruhusu shetani,chokochoko zake leta.
Amwambia,hakutamani,ndio maana anatoka.
Usikute ana mpenzi.huko anako kwenda.
Anafanya kama kazi,aliyoka kataza Rabuka.
Wewe ana kuhini,huku yeye ajirusha.
Haya mengine mengi,kichwani aka mjaza.
Aka-umia moyoni,simanzi zika mjaa.
Moyo wake maskini,ndio ukawa wa kwanza.
Hasira ndio kiini,uchamungu kumtoka
Kulipiza aka-tamani,moyo Adamu kuvunja
Shetani haku muhini,kumpa tunda kumega.
Moyo kauumiza nani,shetani au lasulallah
Hawa akapata poni,mumewe akamtaka
Adamu yu mafunzoni,akamuhasi Rabuka.
Kwa matendo ya chumbani,wakalivunja agano
Malenga mnipe yakini,nani kauumiza moyo?
Labana afanya kazi,akifata yake dira.
Humpa naye mridhi,jazha nema ongezea.
Humnyima kwa uwazi,yule anaye mkusudia.
Huyu ndio Mwenyezi,Mungu tunaye msujudia.
Mbingu yake ardhi,kwa ajabu ameumba.
Adam wake mwenzi,Hawa kumuwekea.
Mwanamke akamuenzi,sifa zake jaalia.
Kwenye zake tenzi,vitabuni utakuta.
Quraani ina mengi,yale kwenye Bibilia
Hili Swali watenzi,majibu nina yatakaa.
Moyo kitu thamani,nani anza umizaa?
Turudi kule bustanini,Maisha yalipoanza
Adam kwenda porini,mwanamke aka data
Kam-ruhusu shetani,chokochoko zake leta.
Amwambia,hakutamani,ndio maana anatoka.
Usikute ana mpenzi.huko anako kwenda.
Anafanya kama kazi,aliyoka kataza Rabuka.
Wewe ana kuhini,huku yeye ajirusha.
Haya mengine mengi,kichwani aka mjaza.
Aka-umia moyoni,simanzi zika mjaa.
Moyo wake maskini,ndio ukawa wa kwanza.
Hasira ndio kiini,uchamungu kumtoka
Kulipiza aka-tamani,moyo Adamu kuvunja
Shetani haku muhini,kumpa tunda kumega.
Moyo kauumiza nani,shetani au lasulallah
Hawa akapata poni,mumewe akamtaka
Adamu yu mafunzoni,akamuhasi Rabuka.
Kwa matendo ya chumbani,wakalivunja agano
Malenga mnipe yakini,nani kauumiza moyo?
Last edited: