Hallo Wana JF.
Nimeona sio vibaya tukajadili hili suala.
Mara Nyingi nikiwapo nyumbani, kabla ya kifungua kinywa, ukimtuma DADA/MSAIDIZI
dukani kwa ajili ya kununua Mkate Mara nyingi huwa wanambambika Mikate ya Juzi.
Na Mara nyingine humpatia hata ile ambayo Imekauka kama Biscuits na mingine inakuwa ishaota Ukungu wa FUNGUS.
Ukirudisha ndio Mwenye Duka naye anajifanya kushangaa kuwa hakuona pia.
Naona ifikie hatua sasa Mikate nayo iwe Na MFG DATE and EXP DATE kama ilivyo kwa bidhaa nyingine,
la sivyo tutakuwa tunalishana Sumu huku mitaani.
Sijui ni Mamlaka ipi hapa inayohusika ili lawama zielekezwe kwao(TBS or TFDA).
Naomba tuelimishane kuhusu hili kama nawe umeshakuwa mhanga wa hili.
Thanks.
Kwani mingine ni ya wapi? bekari ni sehemu ambapo mikate hutengenezwa, ukishasema mkate maana yake umetengezwa bekari sasa unaposema wanunue ya bekari unakua husomeki, labda hujui maana ya bekari!!
Hallo Wana JF.
Nimeona sio vibaya tukajadili hili suala.
Mara Nyingi nikiwapo nyumbani, kabla ya kifungua kinywa, ukimtuma DADA/MSAIDIZI
dukani kwa ajili ya kununua Mkate Mara nyingi huwa wanambambika Mikate ya Juzi.
Na Mara nyingine humpatia hata ile ambayo Imekauka kama Biscuits na mingine inakuwa ishaota Ukungu wa FUNGUS.
Ukirudisha ndio Mwenye Duka naye anajifanya kushangaa kuwa hakuona pia.
Naona ifikie hatua sasa Mikate nayo iwe Na MFG DATE and EXP DATE kama ilivyo kwa bidhaa nyingine,
la sivyo tutakuwa tunalishana Sumu huku mitaani.
Sijui ni Mamlaka ipi hapa inayohusika ili lawama zielekezwe kwao(TBS or TFDA).
Naomba tuelimishane kuhusu hili kama nawe umeshakuwa mhanga wa hili.
Thanks.
Kweli hii ni hatari. Japo hapo ninaponunua mikate huisha mapema sana na ukichelewa hupati lakini hili limenistua sana. Nimejaribu kucheki mkate hapa nyumbani hauna tarehe ya kutengenezwa wala tarehe ya kuisha kutumika. Ni mikate gani yenye kuandikwa hizo tarehe?
Cappucino nadhan cjakosea namna ya kuiandika.mkuu bongo wananchi tunaishi maisha ya boarding sikiliza wimbo wa jay na ft dully skyes utaona watz tunaishijeEndelea kula tu viongoz wanafungua kinywa na cap china na burger