kwishiwa ismail
Member
- Apr 21, 2016
- 7
- 0
Natafuta shockup za Nadia 3s type sU
Mazda na Nissan hawana tofauti wa spare ila ni gari njema imetulia.Msaada kwa mwenye uzoefu wa gari Mazda Premacy DBA-Crew cc1990 size family. Kuhusu ubora spare nk
Ilimradi iwe ndani ya ile range kwenye deep stick, haina shida isipokuwa kama unauliza nini kinasababisha oil kupungua kidogo.Huyu mnaemuuliza maswali atakuwa ni mmasai mbona kala nduki.
Hivi level ya oil ikipungua kidogo sana kuna shida?
Yeyote anaejua tuachane na huyo baba yoyoo
Gari kutoa moshi mweusi ni kiashiria cha nini.?
Kuwa mafuta hayachomwi vizuri
Na moshi mweusi je?
Kama ulimaanisha moshi mweupe, oil inaingia kwenye chemba ya kulipua mafuta.
Piston rings ndio mdudu gani huyu?
Ndio ring zinazowekwa kwenye piston kwaajili ya ku-seal na kulainisha
NAWASILISHA NA KUTANGULIZA SHUKRANI.
Jibu kwanza maswali hayagari kukosa nguvu.
gari kucherewa kuwaka.
gari kutoa moshi mwingi.
gari kua na mis usizozielewa.
uliza ujibiwe na usaidiwe kwa wenye gari zitumiazo diesel..
Sent using Jamii Forums mobile app
.Hivi kwanini tairi huwa zinatoa harufu ya kutaka kuungua? Na suluhisho ni nini?