hivi hata mails kwenye inbox ya email na sms nazo tunahesabu?.............................??? .......................kama jibu ni no, basi nami nimeambulia patupu mwaka huu!!...................!!..............
Dah nilikua mda wote cjapata zawadi but nashukuru mda c mrefu my lovely dady kanigea kijikasha flan ndan yake nimekuta heren,am so happy mwenzenu!