The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
kutegwa ndo huku?
huku ni kutangaza biashara[/QUOTE
hawajui kutega hawa!kutega kunataka mtu aspeculate things like nikifunua pale kuna nini yailahi!nikigusa pale nakutana na nini?sasa hapa kila kitu nje hivi ah!
Muwafundishe...hawa wadogo zenu
kila kitu kiko wazi sasa huwezi hata kuwa curious...
sanasana kama umewahi ona better design unachefuka tu...