Leo nimeshuhudia aibu kubwa, Airport umeme kukatika kwa zaidi ya dakika 1 kwenye mida ya saa 2 na dakika 13. Je hakuna majenereta automatic? Nimeskia aibu sana. Au ndio mzigo umepitishwa? Hata kiusalama sio nzuri hata kidogo.
DK 1??
Unazungumzia airport ya Tanzania au kwa wenzetu? Utakuwa mgeni wewe au unataka kuonesha ulifika airport ....
Airport ni kitu cha ajabu sana mpaka nioneshe nimefika ndugu yangu? Nimeanza kufika Airport tangu nikiwa na miaka 6. Sio kufika tu na kusafiri. Kilichonishangaza sio tu kukatika umeme bali mda mrefu kupita bila kurudi. Ni hatari kiusalama.Sehemu nyeti kama hile inatakiwa kuwa na majenereta automatic. Pale tu umeme unakatika yenyewe yanajiwasha. Huoni hatari hapo? Je watu wakitengeneza hitilafu alafu akapitishwa mtu hatari au mtuhumiwa? Au we akili yako tukio kama hili unawazua nini? Yani how do you make of it