Umeme Jua naitambulisha PREMIER ELECTRICS

Umeme Jua

Member
Dec 11, 2012
66
33
Habari zenu wanajamii,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa jamiiforums hususani jukwaa la Uchumi na Biashara kwa muda mrefu. Mada mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na ujasiriamali kwa ujumla nilizifurahia na kuzipenda sana na hivyo nami nikashawishika kuanzisha kampuni ya ukandarasi wa umeme.

Hivyo leo nawatambulisha rasmi PREMIER ELECTRICS, kampuni ya ukandarasi umeme (electrical contractor) iliyosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (Contractors Registration Board-CRB) katika kiwango cha daraja la 6 (class 6).

PREMIER ELECTRICS inajihusisha na ufungaji wa umeme wa MAJUMBANI, MAJENGO YA BIASHARA na VIWANDANI na vilevile matengenezo (maintenance) ya mifumo ya umeme (electrical systems).

Kwa mawasiliano zaidi,
Ofisi: Stanford House, Tangi Bovu, Mbezi Beach,
S.L.P 13162 Dar es salaam, Tanzania.
Simu: (+255) 0715 050539/0766705332/0714693754/0614435355.
Barua pepe: premier-electrics@hotmail.com.

Karibuni wadau mfurahie huduma zetu.

Asanteni sana, pamoja sana.
 
Umeme Jua duu hilo jina lako na hiyo post nilijua unatambulisha kampuni ya Solar
By the way subiri wakuu watakuja tu wenye kuhitaji
 
Umeme Jua duu hilo jina lako na hiyo post nilijua unatambulisha kampuni ya Solar
By the way subiri wakuu watakuja tu wenye kuhitaji
sawa mkuu watakuja wakuu wahandisi, wasanifu majengo, wakadiriaji na wadau wote kwa ujumla tushiriki katika mjadala huu,
wakuu sosoliso Filipo Mlimakifi ZeMarcopolo Nsiande Engmtolela tedo The Boss droney manyusi Mazingira MAPE2012 QS Ellie Who Cares? Nang'olo Ntela Doltyne rmashauri Horseshoe Arch Candid Scope SMU Architect E.M Fighter Amoeba Safari_ni_Safari Fundi Mchundo tonyk2 Ngereja Gaijin QS bluetooth sirdelta enginer2 zumbemkuu Semilong boma2000 smak786110 mkerewe Mamzalendo Maganga Mkweli Fighter Engineer Mohamed Morani 75 Nyambala Chauro Foundation Yericko Nyerere Michese concrete15 @Yecco(T)Ltd na wadau wote karibuni
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wanajamii,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa jamiiforums hususani jukwaa la Uchumi na Biashara kwa muda mrefu. Mada mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na ujasiriamali kwa ujumla nilizifurahia na kuzipenda sana na hivyo nami nikashawishika kuanzisha kampuni ya ukandarasi wa umeme.

Hivyo leo nawatambulisha rasmi PREMIER ELECTRICS, kampuni ya ukandarasi umeme (electrical contractor) iliyosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (Contractors Registration Board-CRB) katika kiwango cha daraja la 6 (class 6).

PREMIER ELECTRICS inajihusisha na ufungaji wa umeme wa MAJUMBANI, MAJENGO YA BIASHARA na VIWANDANI na vilevile matengenezo (maintenance) ya mifumo ya umeme (electrical systems).

Kwa mawasiliano zaidi,
Ofisi: Stanford House, Tangi Bovu, Mbezi Beach,
S.L.P 13162 Dar es salaam, Tanzania.
Simu: (+255) 0715 050539/0766705332/0714693754/0614435355.
Barua pepe: premier-electrics@hotmail.com.

Karibuni wadau mfurahie huduma zetu.

Asanteni sana, pamoja sana.
safi sana kamanda .. good move .. tutawasiliana kuweza kupeana maujanja ..
hii ni spirit nzuri tujitahidi kupractise hii fani kwa kweli..
kumbuka mwanzo mgumu ila kazi nzuri kila mtu ataipenda ..
 
Umeme Jua,
Asante na hongera kwa kufungua kampuni muhimu katika sekta ya ujenzi.
Kuna kitu nakupmba ufanye au kampuni yenu ifanye. Wateja wa bidhaa za umeme na elektroniki nchini hofu yao kubwa huwa ni uwepo wa bidhaa feki sokoni, hasahasa pale bidhaa hizi zinapotangazwa kuwa ni "mali halisi". Jitahidini m-develop mfumo wa kuwawezesha wateja kupata taarifa sahihi ya jinsi ya kuitambua bidhaa halisi na feki. Taarifa hizi peke yake ni bidhaa na biashara pia, hata kabla ya kuuza bidhaa yenyewe.

Kuna siku nilikuwa Kariakoo kununua nyaya za umeme na nilijisikia mnyogne sana dada mmoja wa kihiindi aliponiambia hii nyaya ni feki, iko original yake kwa bei tofauti. I was like, what if the original is also fake??? mainjinia tusaidieni, soko limevamiwa...

Vilevile nawashauri mfungue skype na facebook account ambazo tunaweza kupata taarifa moja kwa moja. Mtu akiuliza makadirio ya gharama mpeni angalau rough estimates with caution, kuliko kumwambia kuwa bei mpaka mfike site. Wateja wanapenda kujua makadirio, hata kama final figures zitakuwa tofauti.

Tuko pamoja...
 
Mkuu hongera sana kwa kupiga hatua moja kati ya nyingi unazotakiwa kupiga...umefungua kampuni,ni kitu kimoja...sasa ni mwendo wa ten percent....i mean nani anakujua na unamjua nani...ukiweza kufaulu kipengele hiki jitahidi kua mtu wa fitna...i mean usicheze mbali na PPRA! Unless otherwise salute kiongozi!
 
Hongera mkuu kwa kujikwamua na kutengeneza nafasi za ajira kwa waTz wenzako pia. Kama ZeMarcopolo alivyosema jitahidini sana kuzitambua bidhaa halisi na zile feki ili katika kazi zenu muwe makini na muwe na msimamo wa dhati kuwa hamtatumia bidhaa feki kwa kazi yeyote. Vilevile uadilifu na uaminifu ni vitu cha muhimu sana. Mnapochukua kazi ya mteja fanyeni kama ni kazi yenu wenyewe bila kuchakachua kwa namna yoyote ile. Hii itawajengea jina zuri kwa jamii hivyo kuwavutia watu wengi. Trust me, mtaanza kidogo kidogo na hatimaye mtakuwa na kampuni kubwa ambalo mnaweza kuwa na link ya moja kwa moja na makampuni yanayotengeza bidhaa za ubora kutoka katika nchi zinazoaminika kwa viwango kama vile Ujerumani, Uingereza, Sweden, Marekani etc. Nawatakia kila la heri.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu hongera sana Mkuu Umeme Jua.. Nimechukua contacts nadhani tutawaciliana ili nipate maelezo ya ziada.. Nina clients ambao nadhani wanaweza kufurahia huduma zako unazozitoa..
 
Umeme Jua,
Asante na hongera kwa kufungua kampuni muhimu katika sekta ya ujenzi.
Kuna kitu nakupmba ufanye au kampuni yenu ifanye. Wateja wa bidhaa za umeme na elektroniki nchini hofu yao kubwa huwa ni uwepo wa bidhaa feki sokoni, hasahasa pale bidhaa hizi zinapotangazwa kuwa ni "mali halisi". Jitahidini m-develop mfumo wa kuwawezesha wateja kupata taarifa sahihi ya jinsi ya kuitambua bidhaa halisi na feki. Taarifa hizi peke yake ni bidhaa na biashara pia, hata kabla ya kuuza bidhaa yenyewe.

Kuna siku nilikuwa Kariakoo kununua nyaya za umeme na nilijisikia mnyogne sana dada mmoja wa kihiindi aliponiambia hii nyaya ni feki, iko original yake kwa bei tofauti. I was like, what if the original is also fake??? mainjinia tusaidieni, soko limevamiwa...

Vilevile nawashauri mfungue skype na facebook account ambazo tunaweza kupata taarifa moja kwa moja. Mtu akiuliza makadirio ya gharama mpeni angalau rough estimates with caution, kuliko kumwambia kuwa bei mpaka mfike site. Wateja wanapenda kujua makadirio, hata kama final figures zitakuwa tofauti.

Tuko pamoja...
shukrani ZeMarcopolo tumekupata ushauri wako tutaufanyia kazi mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hongera sana kwa kupiga hatua moja kati ya nyingi unazotakiwa kupiga...umefungua kampuni,ni kitu kimoja...sasa ni mwendo wa ten percent....i mean nani anakujua na unamjua nani...ukiweza kufaulu kipengele hiki jitahidi kua mtu wa fitna...i mean usicheze mbali na PPRA! Unless otherwise salute kiongozi!
Nimekupata Horseshoe Arch , ten percent teh teh teh kama kawa
 
Hongera mkuu kwa kujikwamua na kutengeneza nafasi za ajira kwa waTz wenzako pia. Kama ZeMarcopolo alivyosema jitahidini sana kuzitambua bidhaa halisi na zile feki ili katika kazi zenu muwe makini na muwe na msimamo wa dhati kuwa hamtatumia bidhaa feki kwa kazi yeyote. Vilevile uadilifu na uaminifu ni vitu cha muhimu sana. Mnapochukua kazi ya mteja fanyeni kama ni kazi yenu wenyewe bila kuchakachua kwa namna yoyote ile. Hii itawajengea jina zuri kwa jamii hivyo kuwavutia watu wengi. Trust me, mtaanza kidogo kidogo na hatimaye mtakuwa na kampuni kubwa ambalo mnaweza kuwa na link ya moja kwa moja na makampuni yanayotengeza bidhaa za ubora kutoka katika nchi zinazoaminika kwa viwango kama vile Ujerumani, Uingereza, Sweden, Marekani etc. Nawatakia kila la heri.
rmashauri asante kwa encouragement
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wanajamii,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa jamiiforums hususani jukwaa la Uchumi na Biashara kwa muda mrefu. Mada mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na ujasiriamali kwa ujumla nilizifurahia na kuzipenda sana na hivyo nami nikashawishika kuanzisha kampuni ya ukandarasi wa umeme.

Hivyo leo nawatambulisha rasmi PREMIER ELECTRICS, kampuni ya ukandarasi umeme (electrical contractor) iliyosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (Contractors Registration Board-CRB) katika kiwango cha daraja la 6 (class 6).

PREMIER ELECTRICS inajihusisha na ufungaji wa umeme wa MAJUMBANI, MAJENGO YA BIASHARA na VIWANDANI na vilevile matengenezo (maintenance) ya mifumo ya umeme (electrical systems).

Kwa mawasiliano zaidi,
Ofisi: Stanford House, Tangi Bovu, Mbezi Beach,
S.L.P 13162 Dar es salaam, Tanzania.
Simu: (+255) 0715 050539/0766705332/0714693754/0614435355.
Barua pepe: premier-electrics@hotmail.com.

Karibuni wadau mfurahie huduma zetu.

Asanteni sana, pamoja sana.

Je, hamuhitaji mafundi? Kama mnahitaji naomba mni PM mimi ni fundi mzoefu mwenye vyeti.
 
Back
Top Bottom