Habari zenu wanajamii,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa jamiiforums hususani jukwaa la Uchumi na Biashara kwa muda mrefu. Mada mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na ujasiriamali kwa ujumla nilizifurahia na kuzipenda sana na hivyo nami nikashawishika kuanzisha kampuni ya ukandarasi wa umeme.
Hivyo leo nawatambulisha rasmi PREMIER ELECTRICS, kampuni ya ukandarasi umeme (electrical contractor) iliyosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (Contractors Registration Board-CRB) katika kiwango cha daraja la 6 (class 6).
PREMIER ELECTRICS inajihusisha na ufungaji wa umeme wa MAJUMBANI, MAJENGO YA BIASHARA na VIWANDANI na vilevile matengenezo (maintenance) ya mifumo ya umeme (electrical systems).
Kwa mawasiliano zaidi,
Ofisi: Stanford House, Tangi Bovu, Mbezi Beach,
S.L.P 13162 Dar es salaam, Tanzania.
Simu: (+255) 0715 050539/0766705332/0714693754/0614435355.
Barua pepe: premier-electrics@hotmail.com.
Karibuni wadau mfurahie huduma zetu.
Asanteni sana, pamoja sana.
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa jamiiforums hususani jukwaa la Uchumi na Biashara kwa muda mrefu. Mada mbalimbali kuhusu biashara, uchumi, kilimo, ufugaji na ujasiriamali kwa ujumla nilizifurahia na kuzipenda sana na hivyo nami nikashawishika kuanzisha kampuni ya ukandarasi wa umeme.
Hivyo leo nawatambulisha rasmi PREMIER ELECTRICS, kampuni ya ukandarasi umeme (electrical contractor) iliyosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (Contractors Registration Board-CRB) katika kiwango cha daraja la 6 (class 6).
PREMIER ELECTRICS inajihusisha na ufungaji wa umeme wa MAJUMBANI, MAJENGO YA BIASHARA na VIWANDANI na vilevile matengenezo (maintenance) ya mifumo ya umeme (electrical systems).
Kwa mawasiliano zaidi,
Ofisi: Stanford House, Tangi Bovu, Mbezi Beach,
S.L.P 13162 Dar es salaam, Tanzania.
Simu: (+255) 0715 050539/0766705332/0714693754/0614435355.
Barua pepe: premier-electrics@hotmail.com.
Karibuni wadau mfurahie huduma zetu.
Asanteni sana, pamoja sana.