Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
- Thread starter
- #21
Ili usukume gari ambayo haiwaki lazima utoke nje ya gari ndio usukume litaenda!Wewe utakua na uchungu na ccm zaidi ya Mzee Warioba?wewe ccm inakusaidia nini ktk maisha?hujui kuwa Mzee Warioba anapata mafao yote ya umakamu wa kwanza wa rais lakini bado anazungumza kile kilicho moyoni mwake.Tatizo mmezoea kudanganya na msanii mwenzeni ohhh nitaileta timu ya Real Madrid mnakenua tuu