Newrays Realestate
Member
- Dec 8, 2023
- 23
- 30
Ieleweke tu gharama za nyumba zimepanda na hivo hii inatuumiza sana wapangaji.Lakini pia si kua hamna nyumba za bei rahisi maeneo mazuti La hasha zipo tena zipo nyingi tu ila kukisekana kwa taarifa muhimu kuhusu wapi kwa kuzipata ndio changamoto…..
Binafsi nitakuelekeza wapi kwa kupata nyumba hizo mimi kama [mention]Newrays Realestate [/mention] Nitakupa taarifa hizi sahihi
Kama unaishi mkoa wa mbeya Mjini unataka nyumba ya bei rahis hapa umefika.
Iwambi njia panda ya mbalizii
Pata chumba kwa shilingi elf 10 tu
Nyumba ina umeme
Nyumba ina maji
Nyumba ina choo
Nyumba iko karibu na barabara
Changankia fursa!!OFA YANGU YA LEO
Binafsi nitakuelekeza wapi kwa kupata nyumba hizo mimi kama [mention]Newrays Realestate [/mention] Nitakupa taarifa hizi sahihi
Kama unaishi mkoa wa mbeya Mjini unataka nyumba ya bei rahis hapa umefika.
Iwambi njia panda ya mbalizii
Pata chumba kwa shilingi elf 10 tu
Nyumba ina umeme
Nyumba ina maji
Nyumba ina choo
Nyumba iko karibu na barabara
Changankia fursa!!OFA YANGU YA LEO