Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
umeadimika ka mluzi wa kuku?
Mkuu umenikumbusha mbali sana.........long time kitambo sijaona hizi gari majuzi kati ndiyo nikaona FIAT moja choka mbaya limebebea magogo kutoka Olmotonyi Misitu linashuka Ngara
Ila zote lililopotea ni yale mabasi aina ya Layland Dafu (sina uhakika na hizi spelling)
Layland Daf mkuu kwenye red inakaa moja!!Wewe ndo umepotosha!!Umeadimika kama chai maharage za arusha,lol
Cathode raysn ni leyland daff