Umdhaniaye sie kumbe ndiye...mh!

ZeMangi

JF-Expert Member
Oct 21, 2011
436
33
Wana JF,ktk mishemishe za hapa na pale mara jamaa m1 kapita na eskudo yake akanirushia matope bhana,jamaa kasimamisha gari na kushuka ili kuniomba msamaha,mm kwa hasira nikaanza kumkoromea,jamaa akaanza kujitetea "ooh...sasa jamaa yangu kuwa mpole naomba unisamehe"mm nikazid 2 kumkoromea, jamaa akajiongeza"ndg yangu kuwa muelewa hata wewe inaweza kukutokea"nikazidi kumkoromea jamaa akasema "ooh....hii kali leo lazima niitoe kwenye jamii forums"na mm hapo nikamuuliza kwa hasira"kwani ww unatumia jina gani kwenye kwenye jf?"jamaa kwa woga akaniambia "natumia ****"kwa kweli jina alilonitajia mhh...na mambo anayochangia humu...huwezi kuamini bonge la mstaarabu mtaani
kwa kweli thiwezi kutaja a.k.a ya jamaa humu kwani hata yenyewe ni kichekesho tosha,au sijui nitaje?ila ngoja nithubiri kidogo,nitataja baaadae aithee.
 
Wana JF,ktk mishemishe za hapa na pale mara jamaa m1 kapita na eskudo yake akanirushia matope bhana,jamaa kasimamisha gari na kushuka ili kuniomba msamaha,mm kwa hasira nikaanza kumkoromea,jamaa akaanza kujitetea "ooh...sasa jamaa yangu kuwa mpole naomba unisamehe"mm nikazid 2 kumkoromea, jamaa akajiongeza"ndg yangu kuwa muelewa hata wewe inaweza kukutokea"nikazidi kumkoromea jamaa akasema "ooh....hii kali leo lazima niitoe kwenye jamii forums"na mm hapo nikamuuliza kwa hasira"kwani ww unatumia jina gani kwenye kwenye jf?"jamaa kwa woga akaniambia "natumia ****"kwa kweli jina alilonitajia mhh...na mambo anayochangia humu...huwezi kuamini bonge la mstaarabu mtaani
kwa kweli thiwezi kutaja a.k.a ya jamaa humu kwani hata yenyewe ni kichekesho tosha,au sijui nitaje?ila ngoja nithubiri kidogo,nitataja baaadae aithee.

pumbav zako, yani kukurushia vile vitope viduchu ndo umeamua uje kunidhalilisha humu jamvini?
 
Nilikuwa nasubiri ajilete mwenyeeewe....anaitwaaa...aagh.! a.k.a yake ndo inanitoka..ila nitakumbuka tu.
 
Wana JF,ktk mishemishe za hapa na pale mara jamaa m1 kapita na eskudo yake akanirushia matope bhana,jamaa kasimamisha gari na kushuka ili kuniomba msamaha,mm kwa hasira nikaanza kumkoromea,jamaa akaanza kujitetea "ooh...sasa jamaa yangu kuwa mpole naomba unisamehe"mm nikazid 2 kumkoromea, jamaa akajiongeza"ndg yangu kuwa muelewa hata wewe inaweza kukutokea"nikazidi kumkoromea jamaa akasema "ooh....hii kali leo lazima niitoe kwenye jamii forums"na mm hapo nikamuuliza kwa hasira"kwani ww unatumia jina gani kwenye kwenye jf?"jamaa kwa woga akaniambia "natumia ****"kwa kweli jina alilonitajia mhh...na mambo anayochangia humu...huwezi kuamini bonge la mstaarabu mtaani
kwa kweli thiwezi kutaja a.k.a ya jamaa humu kwani hata yenyewe ni kichekesho tosha,au sijui nitaje?ila ngoja nithubiri kidogo,nitataja baaadae aithee.
ndo nini sasa?joke yako haina maana iyo chukua tym.
 
Ungekuwa karibu yangu ningekutandika bonge la m-bao. Nadhani ungezimia.
 
Back
Top Bottom