ZeMangi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 436
- 33
Wana JF,ktk mishemishe za hapa na pale mara jamaa m1 kapita na eskudo yake akanirushia matope bhana,jamaa kasimamisha gari na kushuka ili kuniomba msamaha,mm kwa hasira nikaanza kumkoromea,jamaa akaanza kujitetea "ooh...sasa jamaa yangu kuwa mpole naomba unisamehe"mm nikazid 2 kumkoromea, jamaa akajiongeza"ndg yangu kuwa muelewa hata wewe inaweza kukutokea"nikazidi kumkoromea jamaa akasema "ooh....hii kali leo lazima niitoe kwenye jamii forums"na mm hapo nikamuuliza kwa hasira"kwani ww unatumia jina gani kwenye kwenye jf?"jamaa kwa woga akaniambia "natumia ****"kwa kweli jina alilonitajia mhh...na mambo anayochangia humu...huwezi kuamini bonge la mstaarabu mtaani
kwa kweli thiwezi kutaja a.k.a ya jamaa humu kwani hata yenyewe ni kichekesho tosha,au sijui nitaje?ila ngoja nithubiri kidogo,nitataja baaadae aithee.
kwa kweli thiwezi kutaja a.k.a ya jamaa humu kwani hata yenyewe ni kichekesho tosha,au sijui nitaje?ila ngoja nithubiri kidogo,nitataja baaadae aithee.