Ngumba majora
Member
- Mar 2, 2015
- 63
- 19
Je ungependa kujua jambo gani kuhusu viumbe pori waliopo Tanzania na popote duniani ikiwezekana! Lengo ni kupata elimu ya maswala tata yanayohusu wanyama mwitu tukijumuisha maisha yao, tabia zao na mambo mengine mengi!
Karibu tushirikiane kujibu pale ambapo tuna elimu japo kidogo.
Hv mamba anaweza kutafuta windo lake nje ya uwepo wa maj(nchi kavu)?....Lakn pia ni mambo gan yamemfanya awe adapted ktk maj?