fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 13,072
- 22,882
Wabongo tuwazoeeWe ulitaka akujibu vipi kama siyo kienyeji?Sasa ulitaka jibu la kitaalamu kwani unayemuuliza ni Profesa?au ana Diploma ya mambo ya Bahari?Acha dharau umeuliza na umejibiwa kama ujaridhika nenda Chuo kikuu cha Mlimani watakujibu kwa Ufasaha.