Mtanzanyika
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 370
- 425
Habari ya jioni wakuu,
Maisha ya mahusiano ya kimapenzi yana visa vingi sana. Inawezekana umewahi au upo kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri, ebu tupate experience mbali mbali ilikuaje kuaje mpaka mkaingia kwenye mahusiano.
Kwa upande wangu alikuwa ni Mkuu wangu idara, alinipita miaka 20, ukaribu wetu wa kikazi na kunishirikisha mambo yake mengi ya kimaisha ikatufanya tujenge ukaribu mkubwa sana na mwisho wa siku kuingia kwenye mahusiano. Yalikuwa mahusiano ya siri sana na yanaendelea mpaka leo.
Karibu kwa experience mbali mbali.
Maisha ya mahusiano ya kimapenzi yana visa vingi sana. Inawezekana umewahi au upo kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri, ebu tupate experience mbali mbali ilikuaje kuaje mpaka mkaingia kwenye mahusiano.
Kwa upande wangu alikuwa ni Mkuu wangu idara, alinipita miaka 20, ukaribu wetu wa kikazi na kunishirikisha mambo yake mengi ya kimaisha ikatufanya tujenge ukaribu mkubwa sana na mwisho wa siku kuingia kwenye mahusiano. Yalikuwa mahusiano ya siri sana na yanaendelea mpaka leo.
Karibu kwa experience mbali mbali.