Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
juma ni mwalimu mwenzangu aliniomba sh 2000(elfu mbili) akanunue dagaa maana mshahara ulikuwa bado kidogo utoke atanirudishia, namjua alivyo mgumu kurudisha deni hasa pesa. Bahati nzuri tukaenda wote bank kuchukua mshahara kwa kutumia atm na mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo;
mimi: Juma nipe basi ile pesa yangu nahitaji kuitumia
juma: Pesa gani?(anajibu kwa ukali) then anasema ahaaa ile 2000? Nitakupa tukifika home maana sijahesabu bado.
Miminikawa mkali) aisee nipe pesa yangu vipi wewe? Mbona ulikopa umechuchumaa sasa hivi unnakuwa mkali?
Juma: Sikupi sasa!; kwanza nani shahidi ulinikopa?
Mimi: Hilo jibu lilinikatisha tamaa,nilimwangalia nikashindwa kummeza.
Wenye katabia kama haka waache sio kazuri,hata kama ni sh 1 ni yangu nipe ninafundisha kwa shida.
mimi: Juma nipe basi ile pesa yangu nahitaji kuitumia
juma: Pesa gani?(anajibu kwa ukali) then anasema ahaaa ile 2000? Nitakupa tukifika home maana sijahesabu bado.
Miminikawa mkali) aisee nipe pesa yangu vipi wewe? Mbona ulikopa umechuchumaa sasa hivi unnakuwa mkali?
Juma: Sikupi sasa!; kwanza nani shahidi ulinikopa?
Mimi: Hilo jibu lilinikatisha tamaa,nilimwangalia nikashindwa kummeza.
Wenye katabia kama haka waache sio kazuri,hata kama ni sh 1 ni yangu nipe ninafundisha kwa shida.