Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Leo nimepita mitaa ya katikati ya Jiji nikaingia katika mgahawa mmoja na kukuta watu wakiwa na mjadala wa Lema kujipeleka Gerezani. Wengi wao walikuwa wanahoji kwamba tangu lini mwanaume akajipeleka gerezani tena mbunge. Walisema kuwa gerezani wanaingia watu wanaotumia madawa ya kulevya, wenye kesi za mauaji, wabakaji na majambazi iweje Mbunge aamue kwa ridhaa yake aingie humo? Kwamba aliingia kwa ridhaa yake na jana alitaka kutoka kwa ridhaa yake baada ya kuona posho za bunge lililoanza leo kana kwamba hii ni serikali yake.
Waliunga mkono kitendo cha mahakama kukataa kutoka kwake wakasema serikali inatakiwa kumuonyesha Lema kuwa hayuko juu ya sheria na kwa sababu alitaka mwenyewe kukaa gerezani, aendelee kukaa hadi mahakama itakapoamua na si yeye. Tena apelekwa kwa wanaume wenye zaidi ya miaka mitano gerezani ambao hawajaona mwanamke ili wam-cameroon maana ndicho alichokifuata na si huruma aliyonayo kwa watanzania.
Mzee mmoja alisema kuwa Lema anaichezea serikali ya Rais Kikwete isiyo na ubabe lakini angefanya hivyo wakati wa Nyerere angepambanishwa wanaume wa Cameroon gerezani na angeiona dunia mbaya.
Wakuu baadaye nikaona nijiondokee zangu na kuacha mjadala unaendelea, sijui ulimalizikaje.
Waliunga mkono kitendo cha mahakama kukataa kutoka kwake wakasema serikali inatakiwa kumuonyesha Lema kuwa hayuko juu ya sheria na kwa sababu alitaka mwenyewe kukaa gerezani, aendelee kukaa hadi mahakama itakapoamua na si yeye. Tena apelekwa kwa wanaume wenye zaidi ya miaka mitano gerezani ambao hawajaona mwanamke ili wam-cameroon maana ndicho alichokifuata na si huruma aliyonayo kwa watanzania.
Mzee mmoja alisema kuwa Lema anaichezea serikali ya Rais Kikwete isiyo na ubabe lakini angefanya hivyo wakati wa Nyerere angepambanishwa wanaume wa Cameroon gerezani na angeiona dunia mbaya.
Wakuu baadaye nikaona nijiondokee zangu na kuacha mjadala unaendelea, sijui ulimalizikaje.