Njia pekee ya kuondokana na ulevi wa madaraka ni kuwa na hofu ya Mungu.
Ukimkuta kiongozi ana kiburi na kuwadharau wengine jua kuwa huyo hana hofu ya Mungu.
Ili kiongozi awe mnenyekevu na mwenye huruma kwa walio chini yake basi anapaswa awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya Mungu.
Uadilifu unatokana na uchamungu, hofu ya Mungu.
Baadhi ya viongozi wengi hawana hofu ya Mungu hivyo wanakosa uadilifu ambao chanzo chake ni hofu ya Mungu.
Tujitahidi kwenda Makanisani na Misikitini kupata neno la Mungu ili tuishi kwa namna inavyo mpendeza Mungu.
Ukimkuta kiongozi ana kiburi na kuwadharau wengine jua kuwa huyo hana hofu ya Mungu.
Ili kiongozi awe mnenyekevu na mwenye huruma kwa walio chini yake basi anapaswa awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya Mungu.
Uadilifu unatokana na uchamungu, hofu ya Mungu.
Baadhi ya viongozi wengi hawana hofu ya Mungu hivyo wanakosa uadilifu ambao chanzo chake ni hofu ya Mungu.
Tujitahidi kwenda Makanisani na Misikitini kupata neno la Mungu ili tuishi kwa namna inavyo mpendeza Mungu.