Itscharlie
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,795
- 15,778
Friends of al ahly tunasema tarehe 2 sio mbali
Mwarabu kakuta 'seal' au ilishatatuliwa kitambo?
Ilishatatuliwa kitambo kiasi kwamba imekuwa kama mfuko wa mbolea. Utopwinyo wameliwa ndogo Uarabuni. 😆🤣Mwarabu kakuta 'seal' au ilishatatuliwa kitambo?
Nenda kaandamane ukiwa na bango, eti Simba siyo ya kuifunga simba bao 5 , hiyo ni kwa mkataba upi mliosainiana na wababe wenu.Matokeo ya leo imedhibitisha simba ilihujumiwa ..wachezaji walikula pesa kupitia viongozi wa simba ambao ni machipukizi ya yanga..yanga sio ya kuifunga simba bao5
Mwarabu kakuta bwanga kudadadadeqIlishatatuliwa kitambo kiasi kwamba imekuwa kama mfuko wa mbolea. Utopwinyo wameliwa ndogo Uarabuni.
Kwenye mpira kila kitu kinawezekana, msimu uliopita kwenye CAFCC yanga alichezea chuma mbili kwa mtungi dhidi ya Monastir lakini mwisho wa siku alivuka kwenda robo mpaka kufika fainali. Sasa unavyotoa kauli kuwa ukitolewa CAFCL hakuna kushuka CAFCC, ni wazi hujui ni kwa wakati gani hiyo huwa inatokea. Yanga hajatolewa CAFCL na ndio maana unamuona anacheza CAFCL hatua ya makundi ujue na sheria na kanuni za mashindano zipoje.Na tulishawaambia mara kadhaa, this time around ukitolewa CAFCL hakuna kushuka CAFCC. Uto walizoea kitonga sana kule kwenye kombe la walioshindwa.
Ukweli mwingine mchungu:YANGA HAMUENDI ROBO FAINALI.
Ila haifuti ukweli kiwa walitukanda sisi 5imba mkuu. Naona sasa sisi watoro wa rage tunajifariji kwa Yanga kufungwa. Tuimarishe timu yetu na tuachane na usage.Hii Yanga inayotoa 5G leo ya kupigwa 3-0?
Mtakumbuka medali za shirikisho na kucheza shirikisho.
Msimu ujao mkacheze shirikisho kwa kiwango chenu mngechukua kombe kbsa.😁😁😁😁😁
Tunawasaidia wanetu wekundu wa Algeria kusambaza upendoBango jipya mjini View attachment 2824240
Na naukumbuka tena kama kawaida yake Alifumba na Kuuliza / Kutuuliza je, tunadhani ni Timu gani kati ya Yanga SC na CR Belzoud FC itafungwa Magoli hayo ama 2 kwa 0 au 3 kwa 0?
Team GENTAMYCINE tunauhitaji huo Uzi ili tuweze Kuuchangia na kumpa Maua yake GENTAMYCINE ambaye pamoja na kwamba tunamchukia (nami nikiwemo) na Kazuiliwa Kuchangia Jukwaa hili la Michezo ila kiukweli Jamaa Kabarikiwa Talanta ya Kipekee na Mwenyezi Mungu ambayo wengi wetu hatuna na huenda ndiyo maana hata tunamchukia kwa Wivu, Roho Mbaya zetu na Kukubalika Kwake sana hapa JamiiForums.
Huo Uzi aliuanzishia katika Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko pengine kutokana na kuzuiliwa Jukwaa la Michezo ila kwa sasa nautafuta siuoni hivyo naomba aliyemuona anitagi tafadhali.
Salute mno tu Kwako GENTAMYCINE.
Kwani 5-1 za Yanga zinaondoa ukweli kuwa nawe Simba alikukanda 5-0? Topic mezani ni kipigo cha kuwakaribisha CLIla haifuti ukweli kiwa walitukanda sisi 5imba mkuu. Naona sasa sisi watoro wa rage tunajifariji kwa Yanga kufungwa. Tuimarishe timu yetu na tuachane na usage.
Tutunze tu kumbukumbu mkuu ukiwemo huu ukomenti wakoNa tulishawaambia mara kadhaa, this time around ukitolewa CAFCL hakuna kushuka CAFCC. Uto walizoea kitonga sana kule kwenye kombe la walioshindwa.
Ukweli mwingine mchungu:YANGA HAMUENDI ROBO FAINALI.
Kama Yanga ni timu nzuri sasa kwanini imefungwa 3-0?Ila haifuti ukweli kiwa walitukanda sisi 5imba mkuu. Naona sasa sisi watoro wa rage tunajifariji kwa Yanga kufungwa. Tuimarishe timu yetu na tuachane na usage.
Zimenisaidia kukaa kilele kwenye NBC Premier league.Kama Yanga ni timu nzuri sasa kwanini imefungwa 3-0?
Wangefungwa ilikuwa ni bao 1 tu. Tatizo la Yanga wanacheza mpira kushindana na Simba na kujilinganisha na Simba Sasa wewe goli 5 za Simba zimekusaidia nini wakati umeenda kupigwa 3-0?
Mtazikumbuka medali za shirikisho😁😁😁😁😁
Buku 5 zinapendeza zaidi kuliko buku 3Bango jipya mjini View attachment 2824240
Sawa baki hapo hapo NBC. Mlipoifunga Simba 5 kwa 1 mlitegemea nao mtawafunga 5? Ila hongera! Jana mecheza mpira sanaZimenisaidia kukaa kilele kwenye NBC Premier league.
Ukiifunga Simba ndiyo umekuwa umecheza Champion League na African Super Cup.Buku 5 zinapendeza zaidi kuliko buku 3 View attachment 2824504
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usiwafundishe moderators kazi yao,ukiona wako kimya ujue anawapoza.Ngoja Moderator waunge hizo Id ndio akili itakaa sawa. Badala ya kubadili Aina ya uchangiaji, una circumvent ban kwa kufungua mi ID yenye tabia zile zile.
Pathetic!
Highlights za 5-1 za Yanga zinanoga bhana, 2023 hakuna kadi nyekundu 2, hakuna penati 2 mwaka 2012wala hakuna mbeleko ya kuwanyima penati Yanga kama ninyi mlizowanyima Yanga juzi ilibidi mkandwe 6-1.Kwani 5-1 za Yanga zinaondoa ukweli kuwa nawe Simba alikukanda 5-0? Topic mezani ni kipigo cha kuwakaribisha CL