Habari
Naomba kujua athari za dawa ya kuku kwenye mayai. Nimewapa kuku dawa ya typhoid inaitwa Fatrium bado wapo kwenye dozi, mayai yanaweza kuliwa au nisubiri siku kadhaa. Naomba anayefahamu anijuze
Okey thanxHaifai kuliwa at least after two days
Nilisahau kuuliza, nikaenda duka la dawa lililopo karibu ila aliyekuwepo hakuwa mtaalam kwa hiyo hakua anajua pia, hadi nauliza hapa sijaona kikaratasi cha ndani wala maelezo yaliyopo kwenye dawa hayajielezi kuhusu mayai. Nimejaribu kugugo sijaona pia. Sijakurupuka tu.Tatizo wengi tunafanya mambo kwa mazoea na uzembe, ina maana uliponunua dawa hukuuliza kwa muuzaji au kusoma kibandiko cha maelekezo?
Acha upuuzi kijana wakati mwingine kubali ushauri hata kama unauma, hakuna dawa yoyote ya mifugo ama mimea inayokosa kibandiko cha matumizi na tahadhari. Ikiwa hyo dawa haina maelezo yoyote ni feki, jiandae kuugua kansa siku za mbele kwa kuendekeza kununua dawa zisizodhibitishwa.Nilisahau kuuliza, nikaenda duka la dawa lililopo karibu ila aliyekuwepo hakuwa mtaalam kwa hiyo hakua anajua pia, hadi nauliza hapa sijaona kikaratasi cha ndani wala maelezo yaliyopo kwenye dawa hayajielezi kuhusu mayai. Nimejaribu kugugo sijaona pia. Sijakurupuka tu.
Kama huna ushauri kaa utulie tu sio lazima kucoment.
Hii imeandikwa muda wa kutotumia nyama lakin hamna wa mayaiNi hatari sana kwa afya. Hizo dawa huwa zimeandikwa muda wa kutotumia nyama/mayai ya kuku baada ya siku za dawa kwisha. Soma vizuri maelekezo.