GHIBUU JF-Expert Member Jan 13, 2011 4,432 3,006 May 20, 2011 #1 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ukwaju JF-Expert Member Oct 19, 2010 13,370 11,092 May 20, 2011 #2 Du nitarudi baadae maana huyo mtoa mada tu hata hiyo YouTube siifungi ng'o
lifeofmshaba JF-Expert Member Feb 19, 2011 867 219 May 20, 2011 #3 the comedy original wanawashindani wengi huyu naye msanii wa vichekesho au vitimbi?
Zing JF-Expert Member Jun 24, 2009 1,767 470 May 20, 2011 #4 hahahhahhaahaha ustaaadh anapotumika kutangaza neno na Yesu bila kujijua . Kweli hii dunia ina maajabu Hii nadhani ipelekwe kwe jokes maana hata kwenye dini haimo.
hahahhahhaahaha ustaaadh anapotumika kutangaza neno na Yesu bila kujijua . Kweli hii dunia ina maajabu Hii nadhani ipelekwe kwe jokes maana hata kwenye dini haimo.
Hassan J. Mosoka JF-Expert Member Oct 26, 2010 682 323 May 20, 2011 #5 Duu kumbe wimbo wa taifa ni wa wakristo! Kweli uelewa mdogo ni mzigo mzito.
George Maige Nhigula Jr. JF-Expert Member Mar 14, 2008 470 149 May 20, 2011 #6 hahaha! hivi kuna watu wenye akili timamu wanamwamini huyu jamaa? mimi naona afaa kuwa na kundi la komedy
hahaha! hivi kuna watu wenye akili timamu wanamwamini huyu jamaa? mimi naona afaa kuwa na kundi la komedy
i411 JF-Expert Member Mar 23, 2011 906 290 May 20, 2011 #7 sihawa watu wafungue chama chao tuone zile pointi wataongea katika kujenga taifa na kuimarisha uisilamu wao.
sihawa watu wafungue chama chao tuone zile pointi wataongea katika kujenga taifa na kuimarisha uisilamu wao.
GHIBUU JF-Expert Member Jan 13, 2011 4,432 3,006 May 20, 2011 Thread starter #9 Video nyengine Last edited by a moderator: Jan 4, 2016