Ukweli usiopingika dhidi ya dada zetu

never trust women.......

Kuna mmoja uyo nilimkopesha just as a friend, but now najuta kwann nilimpatia iyo ela.......
 
Ukiwakuta vijana wa kiume wanawasimanga mabinti kuhusu umalaya...na kutokuolewa unaweza ukadhani huo umalaya hao wanawake wanaufanya wenyewe au labda hizo mimba walijipachika wenyewe..........
Lakini Giza likiingia hao hao wanaowasema na kuwakejeli na dharau juu....unawakuta wapo nao kwenye kona wamewashika viuno na kuelekea nyumba za kulala wageni ilihali wao ni wenyeji........

Labda tu niseme kuwa haya mabaya na mabovu tunayoyaona sasa kwa wanawake au mabinti wa leo ni matokeo ya sisi wanaume kama viongozi wao au wachungaji wao kutotimiza wajibu wetu ipasavyo kwenye jamii.........

Tujiulize mbona haya mambo zamani hayakushamiri kama zilivyo nyakati hizi.....ni kuwa babu zetu walikuwa wanatimiza wajibu wao kama wazazi na vile vile walezi.......

Hawakuwa wanafiki wa maneno yao....bali waliishi kwa maneno yao.....tofauti na sasa ambapo unaweza kumkuta mtu humu analalamikia umalaya wa wanawake kujiuza wakati kumbe yeye ni malaya namba wa kuwanunua hao wanawake.......au mtu anajifanya kuhuzunika na mimba kwa wanafunzi huku yeye kutwa yuko kwenye kigari chake kuwavizia hao wanafunzi.......
Sina la nyongeza mtani......
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!
Heee mbona umekuwa mkali kama rabid dog na kumtukana mwandishi?vipi na wewe ndio uko katika category hiyo nini?,ni ukweli usiopingika wanawake ni watu wa kujisahau.
 
Ukiwakuta vijana wa kiume wanawasimanga mabinti kuhusu umalaya...na kutokuolewa unaweza ukadhani huo umalaya hao wanawake wanaufanya wenyewe au labda hizo mimba walijipachika wenyewe..........
Lakini Giza likiingia hao hao wanaowasema na kuwakejeli na dharau juu....unawakuta wapo nao kwenye kona wamewashika viuno na kuelekea nyumba za kulala wageni ilihali wao ni wenyeji........

Labda tu niseme kuwa haya mabaya na mabovu tunayoyaona sasa kwa wanawake au mabinti wa leo ni matokeo ya sisi wanaume kama viongozi wao au wachungaji wao kutotimiza wajibu wetu ipasavyo kwenye jamii.........

Tujiulize mbona haya mambo zamani hayakushamiri kama zilivyo nyakati hizi.....ni kuwa babu zetu walikuwa wanatimiza wajibu wao kama wazazi na vile vile walezi.......

Hawakuwa wanafiki wa maneno yao....bali waliishi kwa maneno yao.....tofauti na sasa ambapo unaweza kumkuta mtu humu analalamikia umalaya wa wanawake kujiuza wakati kumbe yeye ni malaya namba wa kuwanunua hao wanawake.......au mtu anajifanya kuhuzunika na mimba kwa wanafunzi huku yeye kutwa yuko kwenye kigari chake kuwavizia hao wanafunzi.......
Kumbuka Mkuu,enzi za mababu zetu hapakuwa na masimu makubwa na ma whatsup,istagram etc,etc.Sasa hivi dunia imejaa mavitu ya kishetani shetani kidigitali,tatizo ni kwamba dada zetu hawapendi kupitwa au kuringishiwa kitu,hivyo basi ni lazima mtu ajiuze tu kwa namna yoyote ili aweze kumiliki hayo maushetani,atajiuza kinamna fulani,mwingine atajiuza direct nk,nk.
 
Siwezi kuwatukana wanaume kwa sababu na mtoto Wa kiume na baba pia kaka,ila we kama mwanaume afu bado unamtukana mwanamke,je wanaume mmezaliwa na baba zenu tu.au mlinyonya maziwa ya baba zenu?na mama zenu wameolewa wote?hajawahi kuachika?au wamejieshimu mpaka pumzi yao ya mwisho.tuheshiminiane.
 
Msiponde sana wanawake, wanaume nasi tutazame tunavyoharibu hao wanawake
Hapana kabisa,sisi wanaume hatuharibu wanawake hata siku moja,isipokuwa wanaume wachache saaana,wengi wetu tuna huruma na tunagharamia mpaka hata wake na ndugu zetu hatuwagharamii kama wanawake wa nje,tatizo linakuja baadae baadhi ya wanawake wasio na hisani na wenye tamaa wanaendeleza kugawa pussy au tusema kuuza pussy na kusababisha sisi kuwapiga teke,baadaye wanakuja kuadhirika na kuanza kututafuta tena hali yakuwa sura zimeishaporomoka kama chapati ya maji.
 
Kanatia huruma aisee..
Saana Mkuu,yaani ukute umri au speed metre imesoma ile mbaya,halafu pakee hamna,nyumba ya kupanga na watoto wa baba tofauti wasiokuwa na matunzo kutoka kwa baba zao,wanaume woote wameingia mitini,na walioko mtaani kila mmoja anatafuta dogodogo tu,wanaume hawataki vijeba bhana,hapo sasa mwanamke ndio anazidi kukongoroka kwa mawazo na maisha magumu alionayo,kwa kweli wanatilisha huruma.
 
Kumbuka Mkuu,enzi za mababu zetu hapakuwa na masimu makubwa na ma whatsup,istagram etc,etc.Sasa hivi dunia imejaa mavitu ya kishetani shetani kidigitali,tatizo ni kwamba dada zetu hawapendi kupitwa au kuringishiwa kitu,hivyo basi ni lazima mtu ajiuze tu kwa namna yoyote ili aweze kumiliki hayo maushetani,atajiuza kinamna fulani,mwingine atajiuza direct nk,nk.
Wanauzia kina nani!??. Just curious!
 
Foolish...embacile. Idiot nyang'au wee mxxiiiuuuu@*#. Wanaume wenyewe hao wavaa hereni wavaa milegezo na wanaorembua macho!! Hao ndo unasema wanaume?? Hao wanaowinda wanawake wenye pesa ili walelewe!! Na mwandishi is one of them he can't handle fatherly responsibilities...mbuzi kasoro mkia wee!
Tukutane after 8 years, relax mummy!! Naona imekutachi eeh. Unapewa somo bado youths inakusumbua, see you 2024 utakapokuwa unahaha kusaka an adopted father for ur kids!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom