Kafa kivipi tenaKaribu sana mzabzab kumtumikia Mungu kuna faida sana.
Nilikuwa naongea na mfanyakazi mwenzangu saa mbili kama na dk 40 asubuhi, inafika saa tatu na dk tano napigiwa simu mtu kafaaa.. nikasema oooh maaai.. sina changu duniani acha nimtumikie Mungu.. mtu mzima unaweza ukawa chochote na mda wowote bora kuwake hadhina mbinguni ambapo kutu haiwezi haribu wala wevi kufika na kuiba