Ukweli mtupu: Abdalah Bulembo na Anthony Diallo wajiandae kuula, waandae sherehe!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Kutokana na hulka aliyoionyesha rais Magufuli (simuungi mkono na sotothubutu kufanya hivyo) basi hawa watu waliokuwa na Magufuli kwenye kampeni kwa hali na mali kwa hakika hatawaangusha! Magufuli ni mlipaji mzuri wa fadhila kuliko kiongozi yeyote yule aliyemtangulia!

Amedhihirisha hilo na kwa hakika hatanii! Wito wangu kwa hawa watu ni kuwa waandae mkao wa kula! Wataula kwelikweli!

Magufuli hajawaangusha washirika wake! Amewabeba kweli kweli! Waliompigania kwenye kampeni wamepewa madonge manonomanono! Wameula baada ya jasho!

Ila wale wa upande wa pili waendelee kusaga meno! Watarajie maumivu makubwa zaidi ya haya!
 
Kutokana na hulka aliyoionyesha rais Magufuli (simuungi mkono na sotothubutu kufanya hivyo) basi hawa watu waliokuwa na Magufuli kwenye kampeni kwa hali na mali kwa hakika hatawaangusha! Magufuli ni mlipaji mzuri wa fadhila kuliko kiongozi yeyote yule aliyemtangulia!

Amedhihirisha hilo na kwa hakika hatanii! Wito wangu kwa hawa watu ni kuwa waandae mkao wa kula! Wataula kwelikweli!

Magufuli hajawaangusha washirika wake! Amewabeba kweli kweli! Waliompigania kwenye kampeni wamepewa madonge manonomanono! Wameula baada ya jasho!

Ila wale wa upande wa pili waendelee kusaga meno! Watarajie maumivu makubwa zaidi ya haya!
bulembo mwanae mbunge tiari ana miaka 20 hivi chuo bado kumaliza ,yeÿe mwenyewe elimu yake haifahamiki
 
Upendeleo kwenye teuzi za kisiasa ni jambo lisiloepukika na mara nyingi lina uhusiano na kulipa fadhila zinazoendana na kujihakikishia usalama pia. Utawala wa Magufuli siyo wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho kwa hilo!
 
Na bado mtaisoma number mwaka huu,nikimwona Maswi TRA SIPATI PICHA MR MACHACHE ANAVYOUMALIZA MWAKA VIBAYA.Le mzee mwenyewe pale madini yaani flani ataviota tu vitalu.STAR TV NA SAHARA COMMU JUU JUU ZAIDI
 
Tatizo Watanzania mnapenda sana ku-over estimate mambo. JPM ana udhaifu wake na chama chake ndio kabisa. Kuna watu wanafikiri JPM ndio kila kitu na ataiweza Tanzania kipindi cha uongozi wake ni kujidanganya. JPM kalelewa na ccm na anafanya kazi na CCM, utafanya kazi kwa mujibu wa desturi, kanuni na utamaduni wa ccm. Anaweza kufanikiwa kudhibiti baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ni udhaifu wa JK lakini hataweza kudhibiti udhaifu wa ccm. Nashangaa sana CUF na Maalim Seif wana imani kubwa na JPM kuliko uhalisia. Time will tell!
 
Kutokana na hulka aliyoionyesha rais Magufuli (simuungi mkono na sotothubutu kufanya hivyo) basi hawa watu waliokuwa na Magufuli kwenye kampeni kwa hali na mali kwa hakika hatawaangusha! Magufuli ni mlipaji mzuri wa fadhila kuliko kiongozi yeyote yule aliyemtangulia!

Amedhihirisha hilo na kwa hakika hatanii! Wito wangu kwa hawa watu ni kuwa waandae mkao wa kula! Wataula kwelikweli!

Magufuli hajawaangusha washirika wake! Amewabeba kweli kweli! Waliompigania kwenye kampeni wamepewa madonge manonomanono! Wameula baada ya jasho!

Ila wale wa upande wa pili waendelee kusaga meno! Watarajie maumivu makubwa zaidi ya haya!
Toa msingi wa hoja yako ili itushawishi
 
Tatizo Watanzania mnapenda sana ku-over estimate mambo. JPM ana udhaifu wake na chama chake ndio kabisa. Kuna watu wanafikiri JPM ndio kila kitu na ataiweza Tanzania kipindi cha uongozi wake ni kujidanganya. JPM kalelewa na ccm na anafanya kazi na CCM, utafanya kazi kwa mujibu wa desturi, kanuni na utamaduni wa ccm. Anaweza kufanikiwa kudhibiti baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ni udhaifu wa JK lakini hataweza kudhibiti udhaifu wa ccm. Nashangaa sana CUF na Maalim Seif wana imani kubwa na JPM kuliko uhalisia. Time will tell!

well and good! Umezungumza absolute truth!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kutokana na hulka aliyoionyesha rais Magufuli (simuungi mkono na sotothubutu kufanya hivyo) basi hawa watu waliokuwa na Magufuli kwenye kampeni kwa hali na mali kwa hakika hatawaangusha! Magufuli ni mlipaji mzuri wa fadhila kuliko kiongozi yeyote yule aliyemtangulia!

Amedhihirisha hilo na kwa hakika hatanii! Wito wangu kwa hawa watu ni kuwa waandae mkao wa kula! Wataula kwelikweli!

Magufuli hajawaangusha washirika wake! Amewabeba kweli kweli! Waliompigania kwenye kampeni wamepewa madonge manonomanono! Wameula baada ya jasho!

Ila wale wa upande wa pili waendelee kusaga meno! Watarajie maumivu makubwa zaidi ya haya!



Acheni hizi Gross accusations, weka wazi nani kampendelea kwa lipi? Naamini una taarifa zaidi zilizokusukuma hadi uanzishe uzi huu..weka wazi tukuelewe, na bila kumwonea aibu wala woga mtu yeyote, National interest first, and that is what I believe Magufuli is striving to achieve..!
 
Tatizo Watanzania mnapenda sana ku-over estimate mambo. JPM ana udhaifu wake na chama chake ndio kabisa. Kuna watu wanafikiri JPM ndio kila kitu na ataiweza Tanzania kipindi cha uongozi wake ni kujidanganya. JPM kalelewa na ccm na anafanya kazi na CCM, utafanya kazi kwa mujibu wa desturi, kanuni na utamaduni wa ccm. Anaweza kufanikiwa kudhibiti baadhi ya mambo ambayo yalikuwa ni udhaifu wa JK lakini hataweza kudhibiti udhaifu wa ccm. Nashangaa sana CUF na Maalim Seif wana imani kubwa na JPM kuliko uhalisia. Time will tell!


Naamini umri wako hauizidi Ccm.

Kama ni kweli pia wewe umelelewa na Ccm. Na hata hao unao amini hawana udhaifu wamelelewa na Ccm .

Sasa sijui kama unaelewa kuwa unacho amini c kila mmja Anakiamini!

Kubali kukubaliana na uwe mzalendo. Mabadiliko yana anza na WEWE
 
Ni ujinga kuacha watu wenye sifa na badala yake ukateua watu eti kisa walinisaidia ktk propaganda wkt wa kampeni. Ifike mahali kiwepo chombo cha kuthibitisha teuzi zinazofanywa na mkuu wa nchi ili ku
Yote haya yamo kwenye rasmu ya katiba kwenye kipengele cha kupunguza madaraka ya rais.

Obama mpaka leo kuna majaji wa serikali kuu ameshindwa kuwaweka kwa sababu kila anayemteua akienda kujieleza na kuhojiwa na memba wa Kongresi anaonekana hafai. Pamoja na matatizo yote waliyonayo ya upinzani uliopitiliza kimo kati ya Democrats na Republican hii inasaidia sana kumkumbusha rais kuwa yeye siyo mungu mtu na hawezi kujaza washikaji zake kila idara.
 
Hakuna la maana kubwa litakalo fanyika nchi hii mpaka pale ccm itakapoondoka madarakani, nawaapieni haki ya nani. Huyo Pombe lazima ainyeyekee ccm ili isije mpa taabu 2020, ccm ni zimwi kubwa sana mbele ya Pombe.
 
Ni mwanasisa gani ambae anaweza kuwa tenga watu ambao wamechangia ktk mafanikio yake? Hata lowassa leo angekuwa rais acngemuacha mbowe na akina msindai
 
Kutokana na hulka aliyoionyesha rais Magufuli (simuungi mkono na sotothubutu kufanya hivyo) basi hawa watu waliokuwa na Magufuli kwenye kampeni kwa hali na mali kwa hakika hatawaangusha! Magufuli ni mlipaji mzuri wa fadhila kuliko kiongozi yeyote yule aliyemtangulia!

Amedhihirisha hilo na kwa hakika hatanii! Wito wangu kwa hawa watu ni kuwa waandae mkao wa kula! Wataula kwelikweli!

Magufuli hajawaangusha washirika wake! Amewabeba kweli kweli! Waliompigania kwenye kampeni wamepewa madonge manonomanono! Wameula baada ya jasho!

Ila wale wa upande wa pili waendelee kusaga meno! Watarajie maumivu makubwa zaidi ya haya!
Hujaacha umbea wa kibavicha we kijana tangu mmeshindwa sijui mmepagawa na kitu gani poleni sana huyo ndiyo magufuli kawafanya vibaya kweli.
 
Kutokana na elimu ya burembo kuonekana sawa na yule Lacairo tofauti yao ni mmoja ana shekeli za kutosha huyu burembo zawadi yake inawezekana ndiyo hiyo kwa mwanae!!.
 
Back
Top Bottom