Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
kwanza unatumia jina ambalo halifanani na hoja yako, unajiita marksman wakati umeshindwa hata kulenga ukweli wa unalolisema. hakika ukubwa wa mwili si hoja.
Go back to Mwambungu, get his report. Kama kuna mapendekezo unayoyasema yaweke hewani. Pia namfahamu Masyaga sana sana, huyo mwanajeshi mstaafu ni nani.
Kazi njema mpiganaji a.k.a. Marksman.
Alichoandika marksman ni cha ukweli kabisa ya kile kilichotokea. Nilikuwa pale NH wakati ule - Muhingo alimrudisha kazi kinyume cha mapendekezo ya Mwambungu!
Mie nadhani ktk hali ilivyo haikuwa vyema kwa Mobhare kumtetea ndugu yake humu JF kwani kuna mengi yanaweza kuibuka hapa. msisahau pia watu wa Takukuru nao husoma JF hivyo wanaweza kuwa wanapata lines flani za kufuatilia kuhusu mtuhumiwa.