NCHAGWA JOSEPH
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 802
- 226
Neither chrisianity or muslim can justify the existance of god but only the non & ling creatures can do.
Upo usemi " mpumbavu hata ukimywanga kinuni pamoja na ngano upumbavu wake hautatoka" JIPANGE ULETE MADA: Umesema WEWE NI MUNGU YOU CAN CREATE je wajua kucreate ni nini? Umewahijiuliza unakumbuka nini ukiwa na miezi 4 tumboni mwa mamayo? Kwa nini ulikuwa hujisaidii haja ndogo ili hali cell zilikuwa zinzfznyzkazi? Nani anayefanya kuwepo pleasure ktk tendo la ndoa?
Lakini pia hujui chochote juu ya uislam na ukristo ni HEARSAY
Watu wenye akili kama mtoa mada tupo wachache sana ila najua dini zina kipindi kifupi sana kuendelea kuwa fool binadamu haiwezekani wahusika wa kufikrika kama shetani,mungu na allah wawe wankubalika na watu kama vile wahusika halisi.
Ni vitu vingapi vya kufikirika ambavyo mpaka ss umekwisha viamini kama vitu halic
Hakuna hata kimoja.
Mwandishi umepotoka uliposema vitabu vya injili ni hear say.zile ni first hand account vitabu vya hear say utavikuta kwa wakatoliki kama masadukayo na vingine.
Hadi hiyo akili inayotumika kufikiria vitu vya kufikirika ni ya kufikirika, dada huna akili au umewahi kuona akili?
Hujuwi ulinenalo ! InShaAllah Mola Akusamehe kwa Upumbavu wako.
no don't say that Sikh zote uzuri wa kitu chochote tunaangalia na product or effect yake ktk jamii hv kuwepo kwa huo uislam dunian kumeleta manufaa gan
uislamu umeleta amani,upendo,ustaarabu,haki,maelewano ktk jamii,usawa,umekemea rushwa,ufisadi,uzinifu,mauaji,umekataza maovu yote na kuamrisha kutenda mema.
Wasomi wa kuulza Google? Mfano MTU anataka kuuzungumizia uislam lakin hajui chochote kuhusu Quran inasema nn zaid ya maono ya sheihke Google. Nenda kasome kwanza kuhusu uislam wenyewe vzr ijue Qur'an na hadhith zake na hvyo katka upande wa ukrstro kasome vtabu ksha ndo uchambue na kuhoji . Sheikhe Google yy ana copy tu watu wanacondika hapn hchi kina ukweli au la. Yy vya ukwel vya uongo vyote sawa tu
Why You detached From Reality?
Boko Haram Hawatetei Uislam?
Islamic state?Al-shabaab?
Amani Ipi Uislam Umeleta?wanawake wangapi wanauliwa kwa kutokuvaa Hijab au kuzini?Huu Bado ni Upendo?
Usawa upi Qur'an Imeleta?wa kumfanya Mwanamke kama Sex Machine?
unao uthibitisho kwamba boko haram!alshabab,ni waislamu?na hao unawahusisha vipi na uislam?je!unao uthibitisho wa kwamba hayo maovu wanayo yafanya ndivyo uislamu ulivyo fundisha?wapi katika uislamu mwanamke kafanywa sex machine?tofautisha kati ya uislamu na mwislamu!
Wewe unaishi na waislam hapa tz toa mfano wa uovu uliyofanyiwa na muumini wa kiislamu!,achana na uzushi wa kimataifa!
Unachekesha sana.
Una utofautishaje Uislam na Muislam,wakati Muislam ni zao la Uislam?
Boko halam,Islamic state siyo waislam?Neno "Islamic state" pekee linathibitisha wanachopigania.
Mwanamke ni kama sex-object tu katika Quran.
unao uthibitisho kwamba boko haram!alshabab,ni waislamu?na hao unawahusisha vipi na uislam?je!unao uthibitisho wa kwamba hayo maovu wanayo yafanya ndivyo uislamu ulivyo fundisha?wapi katika uislamu mwanamke kafanywa sex machine?tofautisha kati ya uislamu na mwislamu!
Wewe unaishi na waislam hapa tz toa mfano wa uovu uliyofanyiwa na muumini wa kiislamu!,achana na uzushi wa kimataifa!
Why You detached From Reality?
Boko Haram Hawatetei Uislam?
Islamic state?Al-shabaab?
Amani Ipi Uislam Umeleta?wanawake wangapi wanauliwa kwa kutokuvaa Hijab au kuzini?Huu Bado ni Upendo?
Usawa upi Qur'an Imeleta?wa kumfanya Mwanamke kama Sex Machine?
ukifikilia kwa haraka haraka unaweza kuhisi mungu yupo
lakini ukikaa ukatafakali kwa kina na kwa mapana marefu na ukiangalia matatizo ambayo yanaikabili dunia bila solution utagundua kwamba mungu hayupo ila watu wanadanganywa
mm zamani nilikua najiuliza maswali mengi sana kuhusu mungu na niliishi kwa hofu sana nilikua najua muda wowote kinaweza kutokea chochote lakini siku moja nilikuja kugundua mungu hayupo na toka siku hiyo maisha yangu yamebadilika sana na ninayaona maisha yangu halisi jinsi yalivyo na namna gani niishi sio niishi kwa kuhisia vitu ambavyo avipo.