Ukosefu wa ajira kwa Vijana: Lowassa atabiri vita Tanzania...

Huo uchapakazi wake umeinufaisha vipi Tanzania?

Hili suala la uchapakazi wa Lowassa sasa ni just a constructed reality!!!!

thanks bro/sisy,
hawa watu wananikera sana mimi....huyu wanayetuaminisha ni mtendaji ametenda nini cha kujivunia kwa kuwepo kwake serikalini for that long.
CCM ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo,mbona halisemei hilo anajifanya kuisema serikali kwa kuwa yeye alimwagwa na mafisadi wenzie!!!??leo kwa nafasi yake ya uMwenyekiti wa kamati ya Bunge ya usalama na mambo ya Nje anafanya nini kuzuia uozo unaoendela kwenye eneo hilo???mbona tunazidi kusikia ufisadi tu kwenye hizo wizara? mbona hakemei au kwa kuwa yeye anataka Urais basi haya mengine hayaoni?? juzi wanakomaa wapitishe mswaada wa kununua vitu chakavu au scrapper....yeye amenyamaza sio bure usikute wameandaa mzigo wa kutuuzia na invoice zimeshaandaliwa wanasubiri upitishwe wazikombe tena kama kawaida yao..!!! inasikitisha sana.
mimi nimebahatika kutumia gari mpya ya ofisi na gari chakavu ya binafsi...kuna utofauti mkubwa sana in the two. gari mpya ukiwa mtumiaji mwenye discipline unaweza kuliendesha kwa miaka mitano bila kununua spare, wewe ni service tu...ila used utakoma ubishi, mpaka bodi inakatika unashangaa,taa zinadondoka, shoch up zinavuja,break zinaJam, injini inavuja mpaka unaweza kupata hasira na kuisusa tu nyumbani.....halafu serkali inapitisha sheria ya kununua scrapper na huyo mnayemwita mtendaji kanyamaza ili apige dili...thubutu!!!Used, duh eti tununue Meli used,ndege used,treni used ili kubana matumizi! kweli? mbona hamuongelei maV8 mnayoyatumia? mtu anakaa masaki anatumia V8 ya zaidi ya millioni 250 kwa nini msitumie RAV4 ili tuone mko serious???wizara ingehitaji V8 tatu kwa ajili ya safari ktk kila wizara na sio kama ilivyo sasa kila mkurugenzi na lake na wajuu yake vivyo hivyo.....Halafu mtendaji wenu yupo tu anasubiri kuwa Rais ndo aseme!!!
Kilimo kwanza wananunua mapower tiller yanapata kutu pale Mwenge tena baada ya kuyanunua kwa ufisadi, wakulima wamelima kwa nguvu zao wanaambiwa msiuuze nje chakula watu wa Dar watakosa cha kununua???!! why lakini? mtu wa Dar anakula burger wakati wa kijijini hata chumvi hana haafu unamzuia kuuza chake eti kwa kuwahurumia wengine???Mfano hai ni kwamba mdogo wangu amenikopa TZS 300000 akalima viazi na akapata magunia 40....ila kuja kwenye kuuza ameuza gunia moja TZS 8000 na kuambulia 320,000 tu baada ya mwaka mzima wa kuhangaikia shamba lake...hakuna soko la uhakika,hakuna barabara za kusafirishia mazao...sasa amekata tamaa anataka kuwa mchuuzi hataki tena kulima.
Mchapa kazi do you see these things oOOH! wanaokusifia umewapa nini wewe mtu? agrrr agriiiiiiiiiiiiii mwe mwe mweeeeeeeeeee!

nimechanganyachanganya mambo kwa sbb ya hasira, najaribu kuthink otherwise kwa nini hawa watu wanamsifia huyu mtu
 
Kama kawaida yetu badala ya kuangalia ideas zaidi tunakuwa distracted na politics za personalities. Lowassa stinks and all, we all -those of us with unbiased eyes- know that. But even the village madman must be listened to as there is no monopoly on wisdom. And on this one, I am afraid as much I am inclined to dislike Lowassa, his words are prophetic. Whether opportunistic so or not is another matter and I do not think that matters that much at this point anyway. He provided a very daring "big picture" outlook that is right on the money. Of course in politics everything is calculated and I wouldn't put it past him that he is calculating something, but that is not the point. The point is, are his words meritorious or not? Do they carry an undisputable sense regardless of the motive?
Mkuu Kiranga, long time dude!
ok 'Are his words meritorious?' the answer is Yes.
Do they carry an undisputable sense regardless of the motive? Absolutely .
The question is, does he has moral authority to speak on such issues of national interest and security! The answe is NO, Lowassa is the most corrupt and libertine person in our country.

Shetani atakapokuambia nenda ukasali msikitini au kanisani hilo ni wazo zuri kabisa, tatizo ni kuwa aliyesema ni shetani tutaliheshimu vipi neno lake?

Lowassa is neither intelligent nor smart, he is simply an opportunist like any bacteria,virus or fungus.These organisms have no physical power to take down a human but once find an opportunity to invade and strike they will take him down.

Lowassa ni mjumbe wa NEC, ni Mbunge na aliwahi kuwa waziri mkuu. Anajua wapi kuna tatizo na wapi pa kusemea. Hatumjamsikia akiyasema haya ndani ya NEC au Bunge wala kumwambia rafiki yake. Nafasi hiyo anayo, lakini ameamua kuchagua kanisani kwasababu anataka kuoshwa na viongozi wa dini. Kwamba analiongelea tatizo hili kutoka moyoni! nina shaka sana.Hiyo haiondo ukweli wa kile alichosema lakini ana maadili ya kiroho kuzungumzia haya kanisani kabla hajatubu kwa watanzania kwa kulitia taifa hasara kupitia swahiba wake RA. Hizo milioni 11 alizochanga ni pesa zetu anazotumia kutuonya kuhusu uhalifu. Is there any moral authority.

Lakini basi atueleze miaka 10 serikalini na 2 kama PM yeye alipanga nini au aliwahi kufanya nini kuhusu hili suala. Anaposema sera mbovu za chama, ni chama gani hicho asichoweza kukiambia akiwa mjumbe wa hal ya juu kabisa. Wapi ana rekodi ya kusema alijaribu kulirekebisha suala hili wakati akiwa madarakani zaidi ya kuchonga mission za Richmond na madudu mengine. Billion110 anazolipwa RA zingeweza kutumika kama suluhu ya tatizo, yeye halioni hilo anaona sera mbovu.

Tunamshukuru kwa ushauri, na tunamtakia heri katika shughuli zake. Ingawa anadhani amezaliwa kuwa rais wa nchi hii, tunamwambia kauli zake tutazisikia lakini hatakuwa rais wa nchi hii hata kwa saa moja na kabla bomu la ajira halijalipuka, litalipuka la kutawazwa kwake kuwa rais.
 
kaka makamu wa askofu sio askofu..... richard makungu ni padri na ndo makamu wa askofu (kwa lugha ya kigeni wanamwita Vicar General) yeye sio askofu naona umeamua kumtabiria......usije ukachanganya na askofu msaidizi kana ilivyo bukoba na Dar es Salaam

Mseminari ahsante kwa kutujuvya wengine kuhusu hierarchy ya kanisa katoliki. Hata kama wengine tunaona kwamba kuanzia papa mpaka layman wote waongo kwa kutuambia tu juu ya universality of the church, let alone the existence of a godhead deity as known in that self exalting faith. And that's not even the most scary part, the most scary part is JK is not even the worst of our current trend, we still have the capability of choosing a "worse than JK" president come 2015, say a Pinda type disaster !

All of a sudden Lowassa starts to look attractive, even with his bare corrupt diseases.

Let's not get distracted.

Again. Lowassa is bad news. But the guy is probably more assertive than JK and most people in JK's administration, and what he said in this instance is the JK administration unermining truth.

And to quote Captain Haddock, the billions of blue bilious blistering barnacles of JK's boondoggling bureaucrats wouldn't see it for the declaration of a small war it is.

I mean JK is not running in 2015, but still, does one have to stick a finger up his rectum in public like that? Besides, more than JK, lowassa is distancing himself from the whole administration, denying anybody in the current administration the chance to retort that they are beter than him at least. True, Lowassa was PM in that same administration, but he can claim to logical people that his plans were cut short by the premature forced resignation. You have to listen to that at least. And it is not not going to be an empty theory in retrospect, Lowassa did shake some things up in government to the point that some of us observers here wondered whether he was being too aggressive and power drunk. It turns out the replacement is not even power drunk, but long asleep.

Purists would say, in the name of the people, yes.

Although I don't doubt for one bit that the probabilistic quantum dynamics of this has anything to do with anything purists have in mind. Pure opportunism at bay.
 
Anachoongea ni ukweli, lakini ni MWIZI. Please, shame on you who are trying to convince us to believe in a THIEF. Sitageuka jiwe.
 
...tofali moja moja!! ... yatakapotopimia 2015 tutakua tuliyasikia mapema kiasi hiki. yalianzia kule kigamboni (dini fulani ilipoipa shule jina la mheshimwa), yakaendelezwa Nigeria (unabii ulikotolewa), yakasisitizwa Dar (katika dhehebu fulani la dini) sasa ni Mwanza (dhehebu jingine)

Aaaah wapi hakatizi mtu hapa come rain come sun.....si yeye labda kama Yesu atarudi kaburini kwa mara ya pili...tuone Mungu wa Nigeria na wa Tanzania nani ana mikono ya kutenda! Ninaona huruma tu kwa mtu mmoja ambaye masikini ataungua na dege lake kwakukosa usikivu vinginevyo wala! Tanzanians have no need to worry future yao is as bright as morning star.
 
So, a parish uses a politician to raise money and the politician uses the opportunity to raise his voice; big deal! What else is new?

A prophet, of the political rather than the spiritual type, says that high youth unemployment could lead to war; big deal, I could have told you that! But Lowasa should have told us who would be fighting who.

Are the present happenings in Arush and Mbeya a foretaste of this Edwardian prophesy? If so, then everybody in the CCM, whether in the NEC or in other parts of it, had better be very worried. The youth seem to be rising up against functionaries of that hideous organisation!

The parish in question made a well calculated move. They made more than they planned for. They won. The politician won too. He got all of us talking about him again. It is a win-win situation.
 
So, a parish uses a politician to raise money and the politician uses the opportunity to raise his voice; big deal! What else is new?

A prophet, of the political rather than the spiritual type, says that high youth unemployment could lead to war; big deal, I could have told you that! But Lowasa should have told us who would be fighting who.

Are the present happenings in Arush and Mbeya a foretaste of this Edwardian prophesy? If so, then everybody in the CCM, whether in the NEC or in other parts of it, had better be very worried. The youth seem to be rising up against functionaries of that hideous organisation!

The parish in question made a well calculated move. They made more than they planned for. They won. The politician won too. He got all of us talking about him again. It is a win-win situation.


Edwardian phrophesies and win-win situation aside, what's been happening in Mbeya and Arusha all this time is REAL, and couldn't be much closer to the TRUTH, and nothing but the REAL TRUTH.
 
lini mcheza bao, akajua shida ya kazi..... lowassa labda ukwawe mtabiri stendi Arusha lbda itakuwa deal kwako. president dreams za mfalme jua.
 
Hadi Lowassa atakapoanza kukizungumzia CCM hapo tutaanza kuelewana. So far kuzungumzia "serikal" ni kujaribu kuchezeshea mchezo wa 'doli doli.. shilingi ya Nyerere katikati ina mwenge...'

Hii ajenda naona kama ni nzito sana na kwa kweli naona blue blue kwa Lowassa kuitwa Mheshimiwa humu JF na kupewa nafasi kubwa sana. Sina hakika kama ni Lowassa yule yule wa 2007-2009 wa Richmond Saga. Siamini kwamba sasa watu wanasema anakubalika!!! Siamini kwamba Watanzania vijijini ambao ukisema "fisadi" wanaona sura ya Lowassa maana alama ya ufisadi Tanzania inapimwa kwa Lowassa hata kwa watoto wadogo, sasa kikuindi cha wanafunzi watano pale UDSM kumzunguka magazeti kadhaa yakaandika "ameshangiliwa na kuzungukwa na wanafunzi wengi wa UD ambao wamemuona mkombozi atakayemaliza matatizo yao" huku "Rais Kikwete akazomewa" na kundi hilo hilo, kabla ya kutokea mgomo juzi na anazungumzia tatizo la ajiara kuleta balaa siku kadhaa baada ya vurugu za Mbeya, Mwanza na Arusha, je anahusika? Ama anaandaa vurugu kubwa zaidi? Anataka watakaofanya vurugu ziwe kama Tunisia, Libya na Misri halafu NATO ije impe Uraisi? Halafu mbona lugha zake na hata uumbaji wa maneno na sentesi unafanana na ule waraka wa kumtisha JK? Sasa naanza kupata picha Lowassa ni hatari, anataka Urais hata kwa gharama za damu zetu. JF ya Great Thinker pia baadhi yetu tunaanza kusahau mapema na hata uwezo wetu wa kufikiri umepungua
 
wadau mi nashauri tuache ushabiri tujipe muda wa kutafakari kwa kina utendaji wa viongozi wetu wala si umahiri wa kuzungumza tu.
 
Hii ajenda naona kama ni nzito sana na kwa kweli naona blue blue kwa Lowassa kuitwa Mheshimiwa humu JF na kupewa nafasi kubwa sana. Sina hakika kama ni Lowassa yule yule wa 2007-2009 wa Richmond Saga. Siamini kwamba sasa watu wanasema anakubalika!!! Siamini kwamba Watanzania vijijini ambao ukisema "fisadi" wanaona sura ya Lowassa maana alama ya ufisadi Tanzania inapimwa kwa Lowassa hata kwa watoto wadogo, sasa kikuindi cha wanafunzi watano pale UDSM kumzunguka magazeti kadhaa yakaandika "ameshangiliwa na kuzungukwa na wanafunzi wengi wa UD ambao wamemuona mkombozi atakayemaliza matatizo yao" huku "Rais Kikwete akazomewa" na kundi hilo hilo, kabla ya kutokea mgomo juzi na anazungumzia tatizo la ajiara kuleta balaa siku kadhaa baada ya vurugu za Mbeya, Mwanza na Arusha, je anahusika? Ama anaandaa vurugu kubwa zaidi? Anataka watakaofanya vurugu ziwe kama Tunisia, Libya na Misri halafu NATO ije impe Uraisi? Halafu mbona lugha zake na hata uumbaji wa maneno na sentesi unafanana na ule waraka wa kumtisha JK? Sasa naanza kupata picha Lowassa ni hatari, anataka Urais hata kwa gharama za damu zetu. JF ya Great Thinker pia baadhi yetu tunaanza kusahau mapema na hata uwezo wetu wa kufikiri umepungua

bora nife na kumwaga damu yangu na kixazi changu akiwemo mama gaude wangu kuhakikisha lowassa anakuwa rais kuliko kuendelea kukaa na huu utumbo wa sasa....
 
Anachoongea ni ukweli, lakini ni MWIZI. Please, shame on you who are trying to convince us to believe in a THIEF. Sitageuka jiwe.

Mbona huo ukweli hauhitaji Lowassa kutwambia? Mbona ni mambo ambayo hata vijiweni na kwenye daladala yanazungumzwa? Amekuja na mpya gani zaidi ya wimbo tunaojua kuhusu tatizo la ajira? Kwanza nashangaa kuwa kwa Lowassa kusema tatizo la ajira ni bomu ingekua habari kubwa kwamba, "mafisadi sasa wakiri kuwa wizi wao umesababisha maafa kwa watu kukosa ajira kwa kuwa umeme wa Richmond umekua nuksi, kodi hazikikusanywi sababu hakuna uzalishaji, zinazokusanywa zinalipa madeni yakiwamo sasa ya Dowans\Richmond ambayo wao ndio chanzo, makusanyo mengine yanakwenda kulipia mikopo ya kimataifa ikiwamo ile iliyotumika vibaya kwa manunuzi hewa ambayo genge la mafisadi ndio wamekua tanuri la moto wa kuziunguzia" Lowassa ndiye msanii (taaluma yake) wa kwanza kutunga usanii kwamba "maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, halafu yeye akaja kuihujumu hiyo sanaa baada ya kukosa ukubwa na sasa anautaka kwa nguvu hata kwa gharama za damu zetu na akiukosa atahujumu tena kwa njia yoyote na kwa kweli ameshaanza anaona hata 2015 ni mbali, mutakuja kuniambia.
 
Serikali inaenda na muswaada wa kubadili mtaala wa elimu, primary 6 yrs na secondary ni lazima......
 
Halisi,

Unamuonea sana huyu jamaa> kwanza sijasikia wala sijaona MAHAKAMA yoyote iliyosema Lowassa ni FISADI au kahusika DIRECTLY na Richmond saga. Lowassa aliwajibika kama kiongozi. Mwinyi aliwahi kuwajibika kwa mauaji ya Shinyanga akiwa waziri na hilo halikumfanya awe MUUAJI.
Tofauti ya zama za Mwinyi na Lowassa ni kuwa habari sasa hivi inasambaa kwa kasi kutokana na mfumo wa kitechnolojia ya sasa.

Tatizo la ajira unalosema mnalijua au unalijua, je serikali imefanya nini?, Lowassa kama mwananchi yeyote anayo haki ya kutoa mawazo ili mradi havunji sheria.

URAIS, ndugu yangu mbona urais unawatoa roho? wapi kasema anataka kugombea?, je si ni haki yake kugombea? nyie ni nani hasa mmkataze kama anataka kugombea?.

Je unaridhika na hali ya sasa ya vurugu, maandamano, mikataba feki, ajira na inflation? kama huridhiki ni nini kifanyike?. Je ukitoa maoni yako ya nini kifanyike utakua unataka kugombea URAIS?.

Je unaridhika kwa DOLA ya kimarekani kuwa kama ndio business transaction currency hapa Tanzania?, huoni kama inafanya thamani ya shs ishuke?. Mpaka Taasisi za serikali inalipa kodi ya mapango ya nyumba kwa US dollar. Hiyo ni sawa?, Je ikitokea Lowassa akazungumzia hilo atakua anataka URAIS?. Unahitaji kweli PROFESSA wa uchumi kulitatua tatizo la matumizi ya USD nchini?.

Kaka hamka. pamoja na kutompenda Lowassa kuna mambo kibao yanakera. Watu serikalini wenye uwezo wapo ila utekelezaji ni ZERO.
Unavyomlaumu Lowassa ni sawa na wanaomlaumu JK hata kwa barabara za mitaani kuwa mbovu. Mwishoni mtu mkewe akimkosea atamlaumu JK pia.

Tuweni wakweli. Lowassa anauwezo wa kuongoza na anaheshimika. Pia ana uwezo wa kufanya maamuzi magumu.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.

Unaweza kunitafuta tukaendeleza mjadala huu pembeni kaka.

Siku njema

Fairplayer
 
Halisi,

Kumbuka nimetumia mahakama kwa sababu ndio pekee ina uwezo wa ku PROVE BEYOND reasonable doubt kosa la mtu.
 
bora nife na kumwaga damu yangu na kixazi changu akiwemo mama gaude wangu kuhakikisha lowassa anakuwa rais kuliko kuendelea kukaa na huu utumbo wa sasa....

Kumwaga damu hapana kaka. Tueleweshane kwa maneno tu. Busara ni muhimu, na naamini hatujafikia huko.
 
Back
Top Bottom