luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,023
- 21,268
Mungu wangu mme wakeee
Mungu wangu mme wakeee
Siasa ni maisha au kwako ndugu siasa ni nn??unawaza siasa tu..hata ukimkuta mwenza anabanduliwa utadhani ni political diversion
Jamaniii aibuuuView attachment 546176 JAMANI UMBEYA KAZI nna letew MASTORY NA MAPICHA YA MAMA UNGO UKO DM ROHOO YANGU INAMUONEA HURUMA naona nimsitiri ila umbeya wanguu unasema sito utendea haki ila MPAKA ID YA MMEWE ANAPOFANYIA KAZI SEMA UWEZ WEKA SURA YA MMEWE HAPA ASIJE ACHISHWA KAZI.. BURE WALA MTOTO WAKE UWEZ MPOST... NA UMBEYA WOOTE ITFAKI izingatiwe... ila inshort unaambiwa watoto wake mmoja mwanasheria mwngn mwalim mwngn muhasibu jana wamelia kama mbwa... hadi huruma LAKIN WEWE MAMA JAMAN KAMA ILIKUWA MARA YAKO YAKWANZA KWENDA KWA MGANGA ATA UNGEULIZA.. UMEONA WAPI MTU ANAPAA NA UNGO BILA USINGA.. maana ule usinga ndi usukani wenyewe na ndio breki sasa wewe umedanganywa panda kwenye ungo sema maneno aya paa... bila usukan kweli ukujiulza kona utakata vip au unazan uko angan hamna kona au hakuna kupishanaa lazima ungetutana na maderea wengn mpiashane.... khaa muwe mwaulza kupaa na ungoo bila usinga veeepe kona nilazima ili utue unapo taka wewe... maana unaweza kupitiliza kituo sasa unarudije nyuma bila kukunja kona
Jamaniii aibuuu
Siasa ni maisha au kwako ndugu siasa ni nn??
Ukiacha uongo litakuwa jambo zuri sana! Kuna video inamuonesha huyo mwanamke tangu akiwa amekaa uchi barabarani kwenye ungo mpaka anapovaa nguo.
So kaanguka saa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalaam!
Uchawi kumbe upo asee, na kuruka kwa ungo kumbe it's true kabisa.
Katika hali yakushangaza Leo wakazi na wapita njia wameshuhudia mchawi akianguka live katikati ya barabara. Haijajulikana ametokea na anaelekea wapi ila alinyanyuka nakuanza kutembea akiwa uchi wa mnyama. Tazama hapa chini.
View attachment 545935View attachment 545937View attachment 545940
Hapa akiwa ameshavaa nguo, ndio huyo mwenye gauni rangi nyeusi, nyekundu na nyeupe.
Ipo na video naona imegoma Ku upload.
NB. Wataalam tunaoruka kwa ungo kama tupo umu tupeane nondo kidogo, huwa tunakosea wapi mpaka tunaanguka nakudhalilika kiasi hiki? (Joking)
Cc mshana jr
G.Don-Master.
Familia hii wanahitaji ushauri na ukaribu sana ili hili tukio lisiwavuruge wakafanya mabaya zaidi.
Ni vizuri kumsitiri huyu mama kwa kutosambaza zaidi hiyo video katika mitandao hii ya kijamii.
Uchawi hua haupo. Ndio maana huyo mama ameshindwa kuruka kwenda alikokua anataka kwenda.Mimi huwa mawashangaa sana watu kama wewe yani huwa najiuliza ni dunia gani mnaishi.
Mimi yalishanikuta makubwa sana na naamini uchawi upo!!!
Kwani kuendesha hiyo ndege shurti uwe uchi?Mbona hayupo uchi? Acha kupoteza muda