N NSHIBO1 Member May 4, 2011 31 7 May 10, 2011 #1 Ni vp tunaweza kuwashashi vijana wa kike waungane katika harakati za kujikomboa na kuikomboa nchi yetu ktk umaskini uliosababishwa na chama tawala?
Ni vp tunaweza kuwashashi vijana wa kike waungane katika harakati za kujikomboa na kuikomboa nchi yetu ktk umaskini uliosababishwa na chama tawala?
O Omr JF-Expert Member Nov 18, 2008 1,160 100 May 10, 2011 #2 post ya kwanza kweye JF na unaandika pumba kweli iko kazi humu ndani.
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 May 10, 2011 #3 Mi cjui wa2 wengi wana tafakari gani¡¡¡¡¡¡¡?? Ki2 kiko wazi bado tu wanauliza. Mmmmmh!