Ukitaka usiugue kila wakati, tumia njia hii

Mkuu shukrani sana, ila naomba kuuliza, hizo punje za kitunguu saumu unatafuna au unameza bila kutafuna?


Unameza bila kutafuna!? Basi zitakuwa dawa hizo!!!.

Tafuna kuchukuchu ndo umeze. Na tumia zile punje ndogo ndogo. Usitumie yale matunguu makubwa.

.
Kwani vikubwa vina nini?
Kama ni ukali, vidogo vinaweza kuwa vikali kuliko vikubwa.

Kula kavukavu huwezi aisee, unakaa kusukumia na maji au juice
 
Kwani vikubwa vina nini?
Kama ni ukali, vidogo vinaweza kuwa vikali kuliko vikubwa.

Kula kavukavu huwezi aisee, unakaa kusukumia na maji au juice
Punje mbili kwa vidogo sawa.

Punje kubwa kubwa ukimwambia mtu ale mawili itakuwa kama kala kitunguu kizima.

Si unayajua matunguu saumu makubwa vile yalivo?!

Ndo maana ya kumwambia atumie vidogo. Laa kama unataka kutumia vikubwa basi labda wastani wa nusu punje ndo itakuwa kiasi.
 
Nashukuru kwa ushauri mzuri japo ninaswali kidogo mzizi mkavu. Je unaweza kutumia vyote kwa pamoja ama unachagua kimojawapo apacho utakua unatumia ?
 
Mchango wangu: Ukitaka kuushi bila kuugua hovyo

1. Mtangulize Mungu kwenye mambo yako (hii itahakikisha una-practice healthy habits)

2. Maji (ya vuguvugu ni more healthy kama alivyoelezea MziziMkavu. Pia maji baridi yanapunguza nguvu za kiume)

3. Vitunguu saumu viwili kila jioni kabla ya kulala (kuepuka ukubwa vikate hata vipande vidogo vidogo - si lazima kutafuna - na uvimeze na maji yako ya vuguvugu)

4. MAZOEZI!!!! (no explanations needed)
 
Maji lita tatu asubuhi+ Maziwa then unaanza safari ya kwenda kumtumikia Kaburu Kibamba kkoo au Kibeberu posta au Mbagala kingugi Mwenge hahah lazima utembee na Kikopo cha kukojolea na Mifoleni hii!
Nashukuru Mzizi Mkavu kwa ushauri/along nzuri yenye changamoto kwa mazingira yetu
 
Tatizo nikinywa maji mengi kwa mara moja mkojo unasumbua balaa kila dk chooni
Mkuu hiyo ni dalili ya kwamba hunywi maji ya kutosha. Yaani ukinywa hata glasi moja tu lazima uende kukojoa, ila ukianza kunywa maji mengi kila siku na yakakuzoea utakunywa lita nzima na kukaa hata masaa matano bila kwenda kukojoa.
 
Mkuu hiyo ni dalili ya kwamba hunywi maji ya kutosha. Yaani ukinywa hata glasi moja tu lazima uende kukojoa, ila ukianza kunywa maji mengi kila siku na yakakuzoea utakunywa lita nzima na kukaa hata masaa matano bila kwenda kukojoa.
Mmhu. Pale mwanzo lazima upate shishii kdg. Na ndo inavotakiwa haswaa ili upate uflash masumusumu mwilini. So ni vizuri upate shishii walau mara 3 baada ya kunywa maji ya asubuhi. Na inashauriwa unywe glass 2 mpk 1 ltr inategemea na mtu anavoweza.
 
Mmhu. Pale mwanzo lazima upate shishii kdg. Na ndo inavotakiwa haswaa ili upate uflash masumusumu mwilini. So ni vizuri upate shishii walau mara 3 baada ya kunywa maji ya asubuhi. Na inashauriwa unywe glass 2 mpk 1 ltr inategemea na mtu anavoweza.
Yah kwa asubuhi lazima ukojoe baada ya kunywa maji ili kusafisha mwilj, ila baada ya hapo unaweza kukaa masaa mengj bila kujihisi kutaka kujisaidia.
 
Dr. Mzizimkavu nasikia Mlonge nao ni dawa kiboko ya Maradhi mengi. Je unaweza kutujuza ni maradhi yepi yanayotibiwa na Mlonge?
 
Sawa tunashukuru kwa msaada huu,ila mtu ambae mkojo wake unakuwa unatoa harufu saana.
Je tatzo ni nin?
Kumbuka hatumii pombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom