Ukitaka mwanamke akuheshimu, usitoe siri za mapungufu yake, usimkebehi wala kumnyanyasa, Bali uwe chombo cha kumtia moyo na kumfariji

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,013
156,442
Nakumbuka nilisha wahi kupata demu mzuri kwelikweli, siku hiyo anakuja ghetto kavaa raba zake za Andy1 kali sana, Unyakyusa mwingi, basi mambo yameenda vizuri sana kasheshe likaja alipozivua.

Gentleman mimi nilikuwa na Mycota powder nikanyunyiza, kisha nikaenda kuzianika juani. Demu aliona aibu sana, akawa anaomba msamaha kwa kuchafua hali ya hewa.

Nikachemsha maji kwenye birika la umeme, nika dilute na ya baridi likapatokana joto fulani hivi muruwa sana lenye uwezo wa kuamsha na kuchochea moto wa mapenzi fasta.

Nikachukua shower gel yangu ya Piere Cardin, nikaidumbukiza miguu yake kwenye beseni lililokuwa na yale maji matamu. Nikaweka unyunyu mle wa Kiitaliano, chumba kizima harufu nzuri ikatawala.

Nikaanza kumuosha miguu huku nikim massage na kum tantalise, mara nimeshika hapa mara pale, demu anapiga tu kelele za maraha na mahaba tele.

Nikaendelea kumchezea na kumtomasa huku nikimwambia, hii hali ya harufu miguuni isikufanye ujihisi mnyonge, wewe sio mchafu, ila tu leo ni bahati mbaya, hata mimi hali hii imeshawahi kunitokea mara nyingi sana, ila inatibika kabisa.
Nikamwambia Mycota itakusaidia, nikamweleza namna ya kuitumia. Tukafurahia vizuri kabisa siku yetu pamoja.

Ni umbali ndio ulio tutenganisha, leo angekuwa ndio shemeji ndugu zangu na WiFi wa dada zangu

Ukitaka mwanamke akuheshimu, mfanyie wema kwenye madhaifu na mapungufu yake

By Kiranja Mkuu
 
Nakumbuka nilisha wahi kupata demu mzuri kwelikweli, siku hiyo anakuja ghetto kavaa raba zake za Andy1 kali sana, Unyakyusa mwingi, basi mambo yameenda vizuri sana kasheshe likaja alipozivua.

Gentleman mimi nilikuwa na Mycota powder nikanyunyiza, kisha nikaenda kuzianika juani. Demu aliona aibu sana, akawa anaomba msamaha kwa kuchafua hali ya hewa.

Nikachemsha maji kwenye birika la umeme, nika dilute na ya baridi likapatokana joto fulani hivi muruwa sana lenye uwezo wa kuamsha na kuchochea moto wa mapenzi fasta.

Nikachukua shower gel yangu ya Piere Cardin, nikaidumbukiza miguu yake kwenye beseni lililokuwa na yale maji matamu. Nikaweka unyunyu mle wa Kiitaliano, chumba kizima harufu nzuri ikatawala.

Nikaanza kumuosha miguu huku nikim massage na kum tantalise, mara nimeshika hapa mara pale, demu anapiga tu kelele za maraha na mahaba tele.

Nikaendelea kumchezea na kumtomasa huku nikimwambia, hii hali ya harufu miguuni isikufanye ujihisi mnyonge, wewe sio mchafu, ila tu leo ni bahati mbaya, hata mimi hali hii imeshawahi kunitokea mara nyingi sana, ila inatibika kabisa.
Nikamwambia Mycota itakusaidia, nikamweleza namna ya kuitumia. Tukafurahia vizuri kabisa siku yetu pamoja.

Ni umbali ndio ulio tutenganisha, leo angekuwa ndio shemeji ndugu zangu na WiFi wa dada zangu

Ukitaka mwanamke akuheshimu, mfanyie wema kwenye madhaifu na mapungufu yake

View attachment 2518894
Mtu mzima anasimlia stori za teenagers, hizi stress buana, wewe kwako umejaza sprays wakati hata milo mitatu shida loh!
 
Nakumbuka nilisha wahi kupata demu mzuri kwelikweli, siku hiyo anakuja ghetto kavaa raba zake za Andy1 kali sana, Unyakyusa mwingi, basi mambo yameenda vizuri sana kasheshe likaja alipozivua.

Gentleman mimi nilikuwa na Mycota powder nikanyunyiza, kisha nikaenda kuzianika juani. Demu aliona aibu sana, akawa anaomba msamaha kwa kuchafua hali ya hewa.

Nikachemsha maji kwenye birika la umeme, nika dilute na ya baridi likapatokana joto fulani hivi muruwa sana lenye uwezo wa kuamsha na kuchochea moto wa mapenzi fasta.

Nikachukua shower gel yangu ya Piere Cardin, nikaidumbukiza miguu yake kwenye beseni lililokuwa na yale maji matamu. Nikaweka unyunyu mle wa Kiitaliano, chumba kizima harufu nzuri ikatawala.

Nikaanza kumuosha miguu huku nikim massage na kum tantalise, mara nimeshika hapa mara pale, demu anapiga tu kelele za maraha na mahaba tele.

Nikaendelea kumchezea na kumtomasa huku nikimwambia, hii hali ya harufu miguuni isikufanye ujihisi mnyonge, wewe sio mchafu, ila tu leo ni bahati mbaya, hata mimi hali hii imeshawahi kunitokea mara nyingi sana, ila inatibika kabisa.
Nikamwambia Mycota itakusaidia, nikamweleza namna ya kuitumia. Tukafurahia vizuri kabisa siku yetu pamoja.

Ni umbali ndio ulio tutenganisha, leo angekuwa ndio shemeji ndugu zangu na WiFi wa dada zangu

Ukitaka mwanamke akuheshimu, mfanyie wema kwenye madhaifu na mapungufu yake
Safi sana hivi kipindi hicho hii kidudu mtu inaitwa pesa ilikua ijaingia
 
Nakumbuka nilisha wahi kupata demu mzuri kwelikweli, siku hiyo anakuja ghetto kavaa raba zake za Andy1 kali sana, Unyakyusa mwingi, basi mambo yameenda vizuri sana kasheshe likaja alipozivua.

Gentleman mimi nilikuwa na Mycota powder nikanyunyiza, kisha nikaenda kuzianika juani. Demu aliona aibu sana, akawa anaomba msamaha kwa kuchafua hali ya hewa.

Nikachemsha maji kwenye birika la umeme, nika dilute na ya baridi likapatokana joto fulani hivi muruwa sana lenye uwezo wa kuamsha na kuchochea moto wa mapenzi fasta.

Nikachukua shower gel yangu ya Piere Cardin, nikaidumbukiza miguu yake kwenye beseni lililokuwa na yale maji matamu. Nikaweka unyunyu mle wa Kiitaliano, chumba kizima harufu nzuri ikatawala.

Nikaanza kumuosha miguu huku nikim massage na kum tantalise, mara nimeshika hapa mara pale, demu anapiga tu kelele za maraha na mahaba tele.

Nikaendelea kumchezea na kumtomasa huku nikimwambia, hii hali ya harufu miguuni isikufanye ujihisi mnyonge, wewe sio mchafu, ila tu leo ni bahati mbaya, hata mimi hali hii imeshawahi kunitokea mara nyingi sana, ila inatibika kabisa.
Nikamwambia Mycota itakusaidia, nikamweleza namna ya kuitumia. Tukafurahia vizuri kabisa siku yetu pamoja.

Ni umbali ndio ulio tutenganisha, leo angekuwa ndio shemeji ndugu zangu na WiFi wa dada zangu

Ukitaka mwanamke akuheshimu, mfanyie wema kwenye madhaifu na mapungufu yake
Wewe utqkuwa unaongelea kizazi kilichozaliwa kuanzia 1980 kuja juu,sio Hawa wa 1990!!Hawa wa jana,unaweza ukampa kila kitu na akakuona fala tu,akapigwa na boda boda
 
Kutoheshimiwa, kinaweza sababishwa na mengi tu. Mnaweza mkatunziana Siri na kufichiana madhaifu, still heshima ikaja vunjwa kwasababu nje ya hizo.
 
Screenshot_20230216-075117_Chrome.jpg

Afande buji, unapiga miguu yote kama Van Persie?
 
Nakumbuka nilisha wahi kupata demu mzuri kwelikweli, siku hiyo anakuja ghetto kavaa raba zake za Andy1 kali sana, Unyakyusa mwingi, basi mambo yameenda vizuri sana kasheshe likaja alipozivua.

Gentleman mimi nilikuwa na Mycota powder nikanyunyiza, kisha nikaenda kuzianika juani. Demu aliona aibu sana, akawa anaomba msamaha kwa kuchafua hali ya hewa.

Nikachemsha maji kwenye birika la umeme, nika dilute na ya baridi likapatokana joto fulani hivi muruwa sana lenye uwezo wa kuamsha na kuchochea moto wa mapenzi fasta.

Nikachukua shower gel yangu ya Piere Cardin, nikaidumbukiza miguu yake kwenye beseni lililokuwa na yale maji matamu. Nikaweka unyunyu mle wa Kiitaliano, chumba kizima harufu nzuri ikatawala.

Nikaanza kumuosha miguu huku nikim massage na kum tantalise, mara nimeshika hapa mara pale, demu anapiga tu kelele za maraha na mahaba tele.

Nikaendelea kumchezea na kumtomasa huku nikimwambia, hii hali ya harufu miguuni isikufanye ujihisi mnyonge, wewe sio mchafu, ila tu leo ni bahati mbaya, hata mimi hali hii imeshawahi kunitokea mara nyingi sana, ila inatibika kabisa.
Nikamwambia Mycota itakusaidia, nikamweleza namna ya kuitumia. Tukafurahia vizuri kabisa siku yetu pamoja.

Ni umbali ndio ulio tutenganisha, leo angekuwa ndio shemeji ndugu zangu na WiFi wa dada zangu

Ukitaka mwanamke akuheshimu, mfanyie wema kwenye madhaifu na mapungufu yake

Sawa Dr Love.
 
Mtu mzima anasimlia stori za teenagers, hizi stress buana, wewe kwako umejaza sprays wakati hata milo mitatu shida loh!
Hii story sio ya leo, ni ya nilipokuwa kijana kama hao ulio wataja.

Hakafu wewe ni mtu mzima. Unapoona mtu mzima anapiga hadithi za kitoto kuna vitu vya kufanya, 1. Ignore him by clicking ignore button.
2. Potezea tu, kwani utapata hasara gani? Sio kila mbwa anayebweka umpige mawe.

Uwe na siku njema
 
Back
Top Bottom