Ukitaka kununua kiwanja hakikisha survivey plan iko approved wizarani

Vesper-valens

JF-Expert Member
Mar 6, 2020
5,287
7,388
Habari wakuu,

Miaka ya hivi karibuni kumezuka makampuni mengi yanayouza viwanja, lakini katika hayo makampuni sio yote yanafuata taratibu katika upimaji wa viwanja,hali inayopelekea migogoro mingi wakati wa ku process hati miliki

Kuna umuhimu sana kununua kiwanja kilichopimwa na survey plan yake ni approved tayari wizarani.

Wauzaji wengi wa viwanja wanakuambia viwanja vimepimwa. Ila katika uhalisia ili kujiridhisha na upimwaji wa kiwanja husika ni muhimu muuzaji akuonyeshe approved survey plan kutoka wizarani. Nasisitiza hili coz ilishawai kunitokea nliponunua kiwanja kigamboni kwa kampuni moja hivi

Kuna kampuni iliniuzia kiwanja kigamboni ambacho kina ukubwa wa 960sq, ila kumbe katika upimaji wao walikosea barabara walizibana sana nafkiri ni katika kutafuta faida kubwa zaidi

Sasa kimbembe kikaja walivyokua wanataka kuanza ku process hati walivyopeleka survey plan yao ikakataliwa ...ikabidi watumie surveyor mwingine kuja kupima tena

Walivyopima tena kiwanja changu kikapungua kutoka 960sq mpaka 835sq kutokana na kutanuliwa kwa barabara za mitaa. Ndo survey plan yao ikawa approved wizarani

Hivi viwanja vya siku hizi wauzaji wamekua wanapima kiholela bila kufuata taratibu zilizopitishwa wizarani , mwisho wa siku mtu ukija ku process hati unatumia gharama kubwa sana kutokana na makosa ya waliokuuzia kiwanja

Note:

Tuwe makini sana tunapotaka kununua viwanja hasa sehemu za miji
 
Habari wakuu,

Miaka ya hivi karibuni kumezuka makampuni mengi yanayouza viwanja, lakini katika hayo makampuni sio yote yanafuata taratibu katika upimaji wa viwanja,hali inayopelekea migogoro mingi wakati wa ku process hati miliki

Kuna umuhimu sana kununua kiwanja kilichopimwa na survey plan yake ni approved tayari wizarani.

Wauzaji wengi wa viwanja wanakuambia viwanja vimepimwa. Ila katika uhalisia ili kujiridhisha na upimwaji wa kiwanja husika ni muhimu muuzaji akuonyeshe approved survey plan kutoka wizarani. Nasisitiza hili coz ilishawai kunitokea nliponunua kiwanja kigamboni kwa kampuni moja hivi

Kuna kampuni iliniuzia kiwanja kigamboni ambacho kina ukubwa wa 960sq, ila kumbe katika upimaji wao walikosea barabara walizibana sana nafkiri ni katika kutafuta faida kubwa zaidi

Sasa kimbembe kikaja walivyokua wanataka kuanza ku process hati walivyopeleka survey plan yao ikakataliwa ...ikabidi watumie surveyor mwingine kuja kupima tena

Walivyopima tena kiwanja changu kikapungua kutoka 960sq mpaka 835sq kutokana na kutanuliwa kwa barabara za mitaa. Ndo survey plan yao ikawa approved wizarani

Hivi viwanja vya siku hizi wauzaji wamekua wanapima kiholela bila kufuata taratibu zilizopitishwa wizarani , mwisho wa siku mtu ukija ku process hati unatumia gharama kubwa sana kutokana na makosa ya waliokuuzia kiwanja

Note:

Tuwe makini sana tunapotaka kununua viwanja hasa sehemu za miji
Ushauri mzuri sana huu
Naomba uongeze nyama kidogo
Ni na mna gani tutaweza kutambua approved survey plan maana wauzaji ni wafanya biashara wanaweza wakakupa nyaraka hiyo ikiwa siyo halali
Hakuna mfumo unaowezakutambua approved survey plan?
Kama hakuna basi ni changamoto ambayo wizara ya ardhi inatakiwa iifanyie kazi mapema sana ili kupunguza migogoro mingi ya ardhi kama huo wa kwako
 
Habari wakuu,

Miaka ya hivi karibuni kumezuka makampuni mengi yanayouza viwanja, lakini katika hayo makampuni sio yote yanafuata taratibu katika upimaji wa viwanja,hali inayopelekea migogoro mingi wakati wa ku process hati miliki

Kuna umuhimu sana kununua kiwanja kilichopimwa na survey plan yake ni approved tayari wizarani.

Wauzaji wengi wa viwanja wanakuambia viwanja vimepimwa. Ila katika uhalisia ili kujiridhisha na upimwaji wa kiwanja husika ni muhimu muuzaji akuonyeshe approved survey plan kutoka wizarani. Nasisitiza hili coz ilishawai kunitokea nliponunua kiwanja kigamboni kwa kampuni moja hivi

Kuna kampuni iliniuzia kiwanja kigamboni ambacho kina ukubwa wa 960sq, ila kumbe katika upimaji wao walikosea barabara walizibana sana nafkiri ni katika kutafuta faida kubwa zaidi

Sasa kimbembe kikaja walivyokua wanataka kuanza ku process hati walivyopeleka survey plan yao ikakataliwa ...ikabidi watumie surveyor mwingine kuja kupima tena

Walivyopima tena kiwanja changu kikapungua kutoka 960sq mpaka 835sq kutokana na kutanuliwa kwa barabara za mitaa. Ndo survey plan yao ikawa approved wizarani

Hivi viwanja vya siku hizi wauzaji wamekua wanapima kiholela bila kufuata taratibu zilizopitishwa wizarani , mwisho wa siku mtu ukija ku process hati unatumia gharama kubwa sana kutokana na makosa ya waliokuuzia kiwanja

Note:

Tuwe makini sana tunapotaka kununua viwanja hasa sehemu za miji
Asante sana. Swali: Ni kweli kwa sasa madaraka yako Mkoani ya approval of survey plan. Nadhani Waziri wa ardhi wa wakati huo Lukuvi alishusha madaraka hayo Mkoani. Am I right?
 
Dodoma Jiji kuna Kampuni moja hivi jina kapuni, kupitia baadhi ya vijana wake wasio waaminifu! na kwa kushirikiana na madalali wachache matapeli, imekuwa ikiwasababishia watu hasara isiyo na kipimo, kwa kuwazuia viwanja ambako ring road inapita, au viwanja vya watu wengine.
 
Dodoma Jiji kuna Kampuni moja hivi jina kapuni, kupitia baadhi ya vijana wake wasio waaminifu! na kwa kushirikiana na madalali wachache matapeli, imekuwa ikiwasababishia watu hasara isiyo na kipimo, kwa kuwazuia viwanja ambako ring road inapita, au viwanja vya watu wengine.
Ni vema kuitaja Ili watu waweze kuijua Ili mtu asiingie tena kwenye mtego wa matapeli
 
Habari wakuu,

Miaka ya hivi karibuni kumezuka makampuni mengi yanayouza viwanja, lakini katika hayo makampuni sio yote yanafuata taratibu katika upimaji wa viwanja,hali inayopelekea migogoro mingi wakati wa ku process hati miliki

Kuna umuhimu sana kununua kiwanja kilichopimwa na survey plan yake ni approved tayari wizarani.

Wauzaji wengi wa viwanja wanakuambia viwanja vimepimwa. Ila katika uhalisia ili kujiridhisha na upimwaji wa kiwanja husika ni muhimu muuzaji akuonyeshe approved survey plan kutoka wizarani. Nasisitiza hili coz ilishawai kunitokea nliponunua kiwanja kigamboni kwa kampuni moja hivi

Kuna kampuni iliniuzia kiwanja kigamboni ambacho kina ukubwa wa 960sq, ila kumbe katika upimaji wao walikosea barabara walizibana sana nafkiri ni katika kutafuta faida kubwa zaidi

Sasa kimbembe kikaja walivyokua wanataka kuanza ku process hati walivyopeleka survey plan yao ikakataliwa ...ikabidi watumie surveyor mwingine kuja kupima tena

Walivyopima tena kiwanja changu kikapungua kutoka 960sq mpaka 835sq kutokana na kutanuliwa kwa barabara za mitaa. Ndo survey plan yao ikawa approved wizarani

Hivi viwanja vya siku hizi wauzaji wamekua wanapima kiholela bila kufuata taratibu zilizopitishwa wizarani , mwisho wa siku mtu ukija ku process hati unatumia gharama kubwa sana kutokana na makosa ya waliokuuzia kiwanja

Note:

Tuwe makini sana tunapotaka kununua viwanja hasa sehemu za miji
Ongera kwa angalau pamebakia pa kuweka kibanda vinginevyo ungeuziwa open space ungetia akili!
 
Dodoma Jiji kuna Kampuni moja hivi jina kapuni, kupitia baadhi ya vijana wake wasio waaminifu! na kwa kushirikiana na madalali wachache matapeli, imekuwa ikiwasababishia watu hasara isiyo na kipimo, kwa kuwazuia viwanja ambako ring road inapita, au viwanja vya watu wengine.
Jina kapuni ndo nn na upo JF unatumia jina bandia na bado unaogopa kuitaja
 
Jina kapuni ndo nn na upo JF unatumia jina bandia na bado unaogopa kuitaja
Watakuja tu walioumizwa wataitaja. Kimsingi kama alivyosema mtoa mada, umakini unahitajika sana wakati wa kununua kiwanja.

Matapeli siyo watu hata kidogo.
 
Habari wakuu,

Miaka ya hivi karibuni kumezuka makampuni mengi yanayouza viwanja, lakini katika hayo makampuni sio yote yanafuata taratibu katika upimaji wa viwanja,hali inayopelekea migogoro mingi wakati wa ku process hati miliki

Kuna umuhimu sana kununua kiwanja kilichopimwa na survey plan yake ni approved tayari wizarani.

Wauzaji wengi wa viwanja wanakuambia viwanja vimepimwa. Ila katika uhalisia ili kujiridhisha na upimwaji wa kiwanja husika ni muhimu muuzaji akuonyeshe approved survey plan kutoka wizarani. Nasisitiza hili coz ilishawai kunitokea nliponunua kiwanja kigamboni kwa kampuni moja hivi

Kuna kampuni iliniuzia kiwanja kigamboni ambacho kina ukubwa wa 960sq, ila kumbe katika upimaji wao walikosea barabara walizibana sana nafkiri ni katika kutafuta faida kubwa zaidi

Sasa kimbembe kikaja walivyokua wanataka kuanza ku process hati walivyopeleka survey plan yao ikakataliwa ...ikabidi watumie surveyor mwingine kuja kupima tena

Walivyopima tena kiwanja changu kikapungua kutoka 960sq mpaka 835sq kutokana na kutanuliwa kwa barabara za mitaa. Ndo survey plan yao ikawa approved wizarani

Hivi viwanja vya siku hizi wauzaji wamekua wanapima kiholela bila kufuata taratibu zilizopitishwa wizarani , mwisho wa siku mtu ukija ku process hati unatumia gharama kubwa sana kutokana na makosa ya waliokuuzia kiwanja

Note:

Tuwe makini sana tunapotaka kununua viwanja hasa sehemu za miji
Ushauri mujarab!
 
Ushauri mzuri sana huu
Naomba uongeze nyama kidogo
Ni na mna gani tutaweza kutambua approved survey plan maana wauzaji ni wafanya biashara wanaweza wakakupa nyaraka hiyo ikiwa siyo halali
Hakuna mfumo unaowezakutambua approved survey plan?
Kama hakuna basi ni changamoto ambayo wizara ya ardhi inatakiwa iifanyie kazi mapema sana ili kupunguza migogoro mingi ya ardhi kama huo wa kwako
Survey plan ikishakua approved wizarani utakuta kiwanjwa kimewekwa beacons (mawe ya wizara) means hapo kiwanja kiko sehemu sahihi kabisa na vipimo vimepitishwa
 
Back
Top Bottom