johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Wamasai wanamsubiri kwa hamu kubwa Mfalme Charles III wa Uingereza Ili wampe ombi la kutaka kurejeshewa Ardhi yao iliyotwaliwa baada ya Uhuru
King Charles III atafanya ziara nchini Kenya hivi karibuni
Source: EATV
Mlale Unono 😀😀🔥🐼
King Charles III atafanya ziara nchini Kenya hivi karibuni
Source: EATV
Mlale Unono 😀😀🔥🐼