Ukishazaa tu ndo ujiachieee

umekaa nae ukamweleza haya uliyoyaandika hapa? Wadada/wanawake weng huwa wakishazaa ile kujitunza kunapungua nadhan ni kwa kudhan tayari wana mume so haina haja kujipendezesha. Zungumza nae kama ni muelewa atabadilika tu
 
Baadaye leo kama mtaonana mueleze haya bila kubakisha hata neno, labda jibu lake litakufungua akili zaidi na hivyo kutoahirisha kufunga naye pingu za maisha.



Wiki ya pili sasa toka atoke kwao na kichanga changu na sikuwahi ishi nae zaidi ya kuduu tu na akikaa kwangu ni siku moja ama mbili basi anarudi kwake.

Kinachonishangaza sijui nini yaani amekuwa mtu wa kujiachia tu tofauti na awali akija getho atapiga deki hata mara tatu kwa siku lakini sasa hivi inaweza ipite asipige kabisa, chakula chenyewe cha kawaida kabisa wakati zamani hata kama ni tembele basi ataweka na kachumbali.
Mwanzoni nilimkubali sana kutokana na jinsi alivyo ni care lakin sasa mh! Ziwa lenyewe analiachia mpaka limepoteza mvuto wakati zamani ukigusa sidilia tu anaruka na kuongeza chachu ya kuduu na tukiwa chumbani ndo kabisaa yaani nimemzoea mpaka basi, mpaka mvuto umeisha sasa najiuliza sijui ndo 'ufyele' au hii hali itakuja badilika. nataka muoa kabisa ila hii hali inanitisha jamani sijui ni airishe tu lah.
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada hujapevuka kiakili,wiki mbili tu baada ya mtu kujifungua unatapika namna hii.Tafuta msaidizi au kunja mgongo mwenyewe ufanye hizo kazi.
 
mpe muda kaka,atabadilika,tafuta maneno mazuri ya upole umwambie ukweli,ila angalia asiyapokee negative,ikiwezekana pale anapokosea mrekebishe,umfulie,akisahau kuvaa bra mkumbushe na umnunulie kama ni nguo zake zakukera
 
Wiki 2 tu unalalama hivi,mpe mwenzio muda wa kupona vizuri na mtafutie msaidizi anahitaji muda mwingi wa kupumzika.kuwa makini usimsababishie stress coz itaathiri upatikanaji mzuri wa maziwa.
 
Hahahaha hiyo kiboko. Hata ikitokea nikazaa na mwanamke nje ya ndoa lazima awe anajitambua na nimfaham vizuri... naona ushakuwa na dought hapo, na mtoto ndio anawaunganisha, Je utavumilia huyo kuwa mkeo wa maisha na ushaanza kulalamika hivo?
 
Nashukuru wangu hayuko hvyo ila anachoka sana full usingizi mpaka nahis hainjoy mambo yetu kabisa...japo ile mang'ana bado tamu ila anawah kuchoka sana,na hawez kukuanza so nikiuchuna hata wiki inaisha,Kua uyaone.
 
Kaka kipindi hiki unamuonea bure, mtoto anamshughulisha sana!! Kumbuka mtoto anategemea maziwa ya mama pekee so hatakiwi kutumia mafuta yao ya kemikali atashika ziwa mtoto anyonyee ushangae unaanza kuuguza maradhi yasiyoeleweka!!

Unatakiwa uwe mwerevu sana kama baba la sivyo mtaua mtoto!! Harufu za madawa ya nywele, mapafymu na mafuta makali yenye kemikali za zile poda havitakiwi kabisa kabisa!! Mtamuumiza mtotot, we cha kusisitiza awe msafi bila kutumia chochote kwa minajili ya afya bora ya mwanao!!

Kuhusu kupika kaka na wewe ingia mzigoni inapobidi, malezi ni mambo mengi sana na yanachosha!! Utakuta wewe ulipoondoka kwenda kazini mtoto kalia muda mrefu, amuache akukatie wewe kachumbari?? Au mtoto alilia usiku kucha, kwa nini mchana asipate muda wa kupumzika kama wewe ambavyo ulipumzika usiku yeye anabembeleza mtoto??

U have a point, zingatia hili mkuu
 
Shinda na mtoto for 2 days utam respect huyo mwanamke. Sio kazi rahisi. Wewe unafanya nini kumsaidia au ndo unaweka ke.nde zako tu infront of the tv ukirudi home?! Give her a break yeye mwenyewe ana mtoto wa kumhudumia bado ajihudumie yeye na wewe pia. Unataka atoke chicha, akupikie matembele yaloenda shule na umkute mtoto msafi na kanyonya kashiba. Have a heart ana hitaji muda wa kuji adjust na apatiwe a good support system.
 
Back
Top Bottom