Kwani ndo tunakaribia mwisho au vilikuwepo?View attachment 66041
sasa ona na hii nyanya.
View attachment 66056
Alishakaangia roast akashushia ugali. Wewe ungeweka. Si itaoza sasa.
Hebu oneni. lakini napata wazo kuwa watu wamekuwa wakifanya ngono vichakani hivyo kusababisha mimea imekuwa ikichungulia viungo vyetu. View attachment 66127