Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,603 52,314 Jun 13, 2011 #2 Wanasema roho haizeeki, ila atafia hapo hapo kifuani.
S SURUMA JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,892 1,064 Jun 13, 2011 #4 Ng'ombe hazeeki maini:crazy:Babu kama kayavulia nguo hayo maji lazima uwezo wa kuyaoga anao tuuu!!! Keep it up BABUUU....
Ng'ombe hazeeki maini:crazy:Babu kama kayavulia nguo hayo maji lazima uwezo wa kuyaoga anao tuuu!!! Keep it up BABUUU....
Fugwe JF-Expert Member Aug 21, 2008 1,676 656 Jun 13, 2011 #5 Vizee kama hivi ni balaaa, kinaweza kwenda hata goli tatu bila kupumzika. Ukija kuangalia aliyekuwa anamuliza ni kiji babu
Vizee kama hivi ni balaaa, kinaweza kwenda hata goli tatu bila kupumzika. Ukija kuangalia aliyekuwa anamuliza ni kiji babu
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Jun 13, 2011 #8 Fugwe said: Vizee kama hivi ni balaaa, kinaweza kwenda hata goli tatu bila kupumzika. Ukija kuangalia aliyekuwa anamuliza ni kiji babu Click to expand... Wazee kama hawa walikula vyakula vya asili ni kiboko sio kizazi hiki cha chips/mayai akipiga kimoja tu hoi.
Fugwe said: Vizee kama hivi ni balaaa, kinaweza kwenda hata goli tatu bila kupumzika. Ukija kuangalia aliyekuwa anamuliza ni kiji babu Click to expand... Wazee kama hawa walikula vyakula vya asili ni kiboko sio kizazi hiki cha chips/mayai akipiga kimoja tu hoi.
Chris_Mambo JF-Expert Member Aug 11, 2010 596 121 Jun 13, 2011 #9 The last thing that remains for an oldman is always functioning as long as he is healthy! Mpe uone!