Ukiona kinaelea kimeundwa

Haaaa haaaa,kaka mkubwa inabidi tu ukirimu ww coz big sisy yuko kitchen nipe tu km hiyo hapo kwenye avatara nikate kiu lol!

hahahaa..kumbe umemeshamaliza chuo Kantalamba.....nilidhani bado...ebu ngoja nichungulie kwen friji kwanza.....dada yako ananiambia bado mambo mazuri ila utakunywa moja tu usije ukazimika sawa?

baada ya kusema hayo, na kupiga funda, ukamsaidie dada yako jikoni....leo naona mapishi si mchezo....sawa eeh
 
Nyingine hii hapa



CECE-WINANS.jpg





BAK...........naweza kukupa contacts zake....:) :)
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Dah! Utakuwa umefanya la maana sana hahahahaha lol!....niwekee kule kwenye PM :):)...Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako mkubwa sana :):)

Ubarikiwe sana

Siku na kazi njema


Usijali BAK............check your PM. All the best kwenye mchakato......LOL...:)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom