Desidii
JF-Expert Member
- Oct 2, 2007
- 1,201
- 86
hebu acha uongo,mi nna marafiki zangu wengi tu wamelelewa na mama zao mbona hawaichukii hiyo hali? Kwani kuna shida gani kama mtu hataki kuolewa na anataka mtoto akizaa! Kila mtu ana maamuzi yake bana ilimrad havunji sheria.
Huyo yamemkuta na ni yeye ndo anasikia vibaya hana lolote kutuchafulia hali ya hewa tu