Ukimsikia mwanamkea anasema hivi, jua kuna jambo!

Poleee!! ndo maisha bana!!
lakini kama uliangalia simu usifanye tena hivyo eeh!!
 
MMh masahibu sana; Muombe Mungu akutie nguvu na kukuvusha katika magumu; umefanya vizuri kuyatoa nje
 
:yuck:mh ata sijaelewa jaman...ni iyoo tuite metaphor au sjui u ukilaza wangu tu ndo unanipa maana nyngne? ata sjaelewa mwee i st kayumba tabu kweli kwel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom