Denti mmoja mkoani tanga amempiga biti DC baada ya kumtamkia kuwa endambo atamfu alie mpa mimba atajiua mbele yake..source magazetini
wawekwe ndani wote ili ajue uchungu wa selo
akitoka hapo habari za kujiua hakuna tena
Natumia mchina ndomana nimeshindwa kukupa like,
yaani hapo ni kuwatia wote lupango, mpuuzi kweli huyo binti. Akili za form 3B zinamzingua.
dont you worry ...thanks
Binti anashangaza kweli hapo akianza kuhangaika na mtoto ataona kama jamaa atatokea