The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Nakumbuka nikiwa mdogo hadi miaka ya shuleni nilikua napenda sana wali maharake, pilau na vitu kama hivyo, ilikua wali na mimi, mimi na wali.
Cha kushangaza siku hizi ugali ndio umekua kama default food yangu, ugali nyama, samaki, dagaa ama mboga za majani, ndizi choma nyama, samaki. Maharage bado nakula bila shida ila wali umenishinda kabisa.
Nikafikiri ni mimi tu nakabiliana na hilo tatizo, jana nimekutana na classmate wangu akaniambia tatizo hilo hilo kwamba wali umemshinda kabisa sasa chakula chake kikuu ni ugali.
Wakuu kuna mtu anapitia changamoto kama hii ya kupoteza interest ya baadhi ya misosi aliyokua anaipenda?
Cha kushangaza siku hizi ugali ndio umekua kama default food yangu, ugali nyama, samaki, dagaa ama mboga za majani, ndizi choma nyama, samaki. Maharage bado nakula bila shida ila wali umenishinda kabisa.
Nikafikiri ni mimi tu nakabiliana na hilo tatizo, jana nimekutana na classmate wangu akaniambia tatizo hilo hilo kwamba wali umemshinda kabisa sasa chakula chake kikuu ni ugali.
Wakuu kuna mtu anapitia changamoto kama hii ya kupoteza interest ya baadhi ya misosi aliyokua anaipenda?