GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari wana Jf
Juzi nilipimwa Pressure, Dr akaniambia kuwa iko juu na akaniambia nisitumie chumvi na vyakula vya mafuta, sasa napata shida kula chakula bila chumvi, nilikuwa nauliza hakuna aina yoyote ya chumvi ninayoweza kutumia na isiwe na madhara? Msaada wenu pls!!
Juzi nilipimwa Pressure, Dr akaniambia kuwa iko juu na akaniambia nisitumie chumvi na vyakula vya mafuta, sasa napata shida kula chakula bila chumvi, nilikuwa nauliza hakuna aina yoyote ya chumvi ninayoweza kutumia na isiwe na madhara? Msaada wenu pls!!