Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
"Polisi watatu wafa katika ajali" Nipashe ya 20/12/2008[/B]Ajali hii ni ya kufunga mwaka wana JF,
Polisi watatu wameuwawa na dereva wa basi pale Kibaha , na dereva huyo kukimbia.
Dereva alisababisha ajali Kibaha na kuua.Akakimbia na basi pamoja na abiria wake mpaka Mikese kilometa karibu 100, mwanaume anakimbia tu!
Yamekuwapo malalamiko mengi kuwa Polisi wa Barabarani wamekuwa kama wanafanya mchezo wa kuigiza katika kudhibiti madereva wazembe, hasa katika barabara zetu za kwenda mikoani.
Hii ajali iliyotokea ya kusikitisha lazima iwaamshe wenzetu wa Polisi Usalama Barabarani kuwa kucheza cheza na hao madereva wa mabasi, hasa yaendayo Mbeya ndiko kuewamaliza wenzao watatu.
Ajali za mabasi ruti hii ya Mbeya zimekithiri, na dereva kuua Polisi na kuondoka, huo ni ujasiri wa pekee.
Polisi Usalama barabarani lazima wajiulize utendaji wao umekaa vipi ili kudhibiti matukio kama haya.
Leo limewatokea , tena wenyewe, ni suala la kusikitisha.
Polisi watatu wameuwawa na dereva wa basi pale Kibaha , na dereva huyo kukimbia.
Dereva alisababisha ajali Kibaha na kuua.Akakimbia na basi pamoja na abiria wake mpaka Mikese kilometa karibu 100, mwanaume anakimbia tu!
Yamekuwapo malalamiko mengi kuwa Polisi wa Barabarani wamekuwa kama wanafanya mchezo wa kuigiza katika kudhibiti madereva wazembe, hasa katika barabara zetu za kwenda mikoani.
Hii ajali iliyotokea ya kusikitisha lazima iwaamshe wenzetu wa Polisi Usalama Barabarani kuwa kucheza cheza na hao madereva wa mabasi, hasa yaendayo Mbeya ndiko kuewamaliza wenzao watatu.
Ajali za mabasi ruti hii ya Mbeya zimekithiri, na dereva kuua Polisi na kuondoka, huo ni ujasiri wa pekee.
Polisi Usalama barabarani lazima wajiulize utendaji wao umekaa vipi ili kudhibiti matukio kama haya.
Leo limewatokea , tena wenyewe, ni suala la kusikitisha.