Ukaguzi wa mfumo wa kuhesabu kura: Kwa nini NEC haitaki

mafutamingi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
2,772
2,171
John Mnyika, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa akisisitiza umuhimu wa kukagua mfumo (software) ya kujumlisha kura (tallying). Rai ya Mnyika inatokana na hofu kwamba mfumo huo unaweza kuwa mkondo wa kuiba kura. Lakini NEC kupitia kwa Mwenyekiti wake amekaririwa akisema sheria hairuhusu ukaguzi wa mfumo huo kufanywa na vyma vya siasa. Ameendelea kusema kwamba vyama vya siasa vitaonyeshwa jinsi mfumo huo unavyofanya kazi lakini hawataruhusu ukaguzi wa aina yoyote kufanyika.

Mimi nadhani Jaji Lubuva angetumia busara kuondoa shaka ya aina yoyote kwamba wizi wa kura utafanyika kupitia mfumo huo. Ni kweli kwamba hakuna sheria inayotaka ukaguzi wa mfumo huo ufanywe na chama chochote cha siasa. Lakini kwa upande mwingine hakuna sheria yoyote inayokataza ukaguzi huo kufanywa. Jaji Lubuva atumiwe busara na aruhusu chama chochote kifanye ukaguzi. Kama ana hakika software hiyo iko intact, kwa nini awakatalie?
 
Bavicha inaelekea mnajikita kulalamika kuliko kufatilia mambo ....! Jana vyama vyote vilipewa mualiko na NEC vikaangali na kutoa ushauri yani leo vyama vinatakiwa kwenda kuangalia huo mfumo...
 
Ukoo wa panya umepewa saa 72 waweke mambo yao wazi,kama watashindwa watakabiliana na nguvu ya umma kitaani
 
John Mnyika, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa akisisitiza umuhimu wa kukagua mfumo (software) ya kujumlisha kura (tallying). Rai ya Mnyika inatokana na hofu kwamba mfumo huo unaweza kuwa mkondo wa kuiba kura. Lakini NEC kupitia kwa Mwenyekiti wake amekaririwa akisema sheria hairuhusu ukaguzi wa mfumo huo kufanywa na vyma vya siasa. Ameendelea kusema kwamba vyama vya siasa vitaonyeshwa jinsi mfumo huo unavyofanya kazi lakini hawataruhusu ukaguzi wa aina yoyote kufanyika.

Mimi nadhani Jaji Lubuva angetumia busara kuondoa shaka ya aina yoyote kwamba wizi wa kura utafanyika kupitia mfumo huo. Ni kweli kwamba hakuna sheria inayotaka ukaguzi wa mfumo huo ufanywe na chama chochote cha siasa. Lakini kwa upande mwingine hakuna sheria yoyote inayokataza ukaguzi huo kufanywa. Jaji Lubuva atumiwe busara na aruhusu chama chochote kifanye ukaguzi. Kama ana hakika software hiyo iko intact, kwa nini awakatalie?


usipotoshe!!!! Mnyika anadai soft copy ya daftari la wapiga kura??? kura zitapigwa na kuhesabiwa manually, wapeni elimu vibaka wenzenu jinsi ya kupiga kura maana wataharibu kura nyingi tu
 
Bavicha inaelekea mnajikita kulalamika kuliko kufatilia mambo ....! Jana vyama vyote vilipewa mualiko na NEC vikaangali na kutoa ushauri yani leo vyama vinatakiwa kwenda kuangalia huo mfumo...

Mtoa Maada Anasema UKAGUZI NA SIO KUANGALIA, hata ilo gumu kuelewa kweli mtanzania?
 
we jamaa akili zako fupi,ndomana wakaambiwa wapeleke wataalamu wao,kama kwenda kuangalia tu hata msemaji wenu asiyekua na utaalamu wa hiyo mifumo angeenda..
bavicha ndivyo walivyo wana waza vurugu tuu...
 
usipotoshe!!!! Mnyika anadai soft copy ya daftari la wapiga kura??? kura zitapigwa na kuhesabiwa manually, wapeni elimu vibaka wenzenu jinsi ya kupiga kura maana wataharibu kura nyingi tu

Punguzeni jazba otherwise mtaishia kutoa mitusi hapa!
 
John Mnyika, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa akisisitiza umuhimu wa kukagua mfumo (software) ya kujumlisha kura (tallying). Rai ya Mnyika inatokana na hofu kwamba mfumo huo unaweza kuwa mkondo wa kuiba kura. Lakini NEC kupitia kwa Mwenyekiti wake amekaririwa akisema sheria hairuhusu ukaguzi wa mfumo huo kufanywa na vyma vya siasa. Ameendelea kusema kwamba vyama vya siasa vitaonyeshwa jinsi mfumo huo unavyofanya kazi lakini hawataruhusu ukaguzi wa aina yoyote kufanyika.

Mimi nadhani Jaji Lubuva angetumia busara kuondoa shaka ya aina yoyote kwamba wizi wa kura utafanyika kupitia mfumo huo. Ni kweli kwamba hakuna sheria inayotaka ukaguzi wa mfumo huo ufanywe na chama chochote cha siasa. Lakini kwa upande mwingine hakuna sheria yoyote inayokataza ukaguzi huo kufanywa. Jaji Lubuva atumiwe busara na aruhusu chama chochote kifanye ukaguzi. Kama ana hakika software hiyo iko intact, kwa nini awakatalie?



Unatarajia nini hapo NEC na wasimamizi wa uchaguzi wamechaguliwa na mwenyekiti na wa CCM. Wananchi kulinda kura ni lazima!
 
tumia akili kidogo tu kufikiria, ww kama unafanya kazi pale kazini kwako idara ya uhasibu inaweza kukuruhusu ukakagua source code za proram za mfumo wao wa mahesabu?? wanachoweza kukuonyesha na hata hiyo sio lazima ni jinsi HUO MFUMO unavyofanya kazi. Isitoshe watengenezaji wa program za komputa wengine kama Microsoft ya Bill gate source code zao haziko wazi kwamba unaweza kukagua na kuziona hata kama utapewa ukague.
ACHA KUTAFUTA VISINGIZIO HAYO NI MAMBO YA KURAHISHA KAZI NA KUONGEZA UFANISHI YA TUME YA UCHAGUZI NADHANI TUWAACHE WAFANYE KAZI. TUNATAKIWA TUWAPONGEZE TUME KWA ANGALAU KUANZA KUTUMIA TEHAMA.

John Mnyika, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa akisisitiza umuhimu wa kukagua mfumo (software) ya kujumlisha kura (tallying). Rai ya Mnyika inatokana na hofu kwamba mfumo huo unaweza kuwa mkondo wa kuiba kura. Lakini NEC kupitia kwa Mwenyekiti wake amekaririwa akisema sheria hairuhusu ukaguzi wa mfumo huo kufanywa na vyma vya siasa. Ameendelea kusema kwamba vyama vya siasa vitaonyeshwa jinsi mfumo huo unavyofanya kazi lakini hawataruhusu ukaguzi wa aina yoyote kufanyika.

Mimi nadhani Jaji Lubuva angetumia busara kuondoa shaka ya aina yoyote kwamba wizi wa kura utafanyika kupitia mfumo huo. Ni kweli kwamba hakuna sheria inayotaka ukaguzi wa mfumo huo ufanywe na chama chochote cha siasa. Lakini kwa upande mwingine hakuna sheria yoyote inayokataza ukaguzi huo kufanywa. Jaji Lubuva atumiwe busara na aruhusu chama chochote kifanye ukaguzi. Kama ana hakika software hiyo iko intact, kwa nini awakatalie?
 
Nilishaota tangu kitambo kuwa NEC ndio watakaoiingiza hii nchi katika machafuko baada ya matokeo yaliyobandikwa kwenye vituo vya kupigia kura kuwa tofauti na taarifa za NEC.
Hawa NEC wameamua kumtumikia bwana mkubwa ccm bila kujali madhara yanayoweza kutokea kwa nguvu ya umma!
 
We Jamaa Akili Zako Fupi,ndomana Wakaambiwa Wapeleke Wataalamu Wao,kama Kwenda Kuangalia Tu Hata Msemaji Wenu Asiyekua Na Utaalamu Wa Hiyo Mifumo Angeenda..

we bado upo usingizini nadhani, kuangaria ni unaona tu ni jinsi gani mfumo unafanya kazi (demo). point hapa ni kufanya ukaguzi wa software husika inafanyeje kazi (arithmetically). Naofia uelewa wa watu kama wewe hata kiswahili inakua kazi kuelewa. any way taratibu utaelewa

Mabadiliko never come over the day....... we got you.....
 
Back
Top Bottom