Ujumbe wa Balozi Ali Abeid Karume kwa kikundi cha Uamsho

Ukoo Flani

Senior Member
Sep 1, 2011
156
41
“Wanaofikiria kuwa Muungano utavunjika hawajui historia ya Zanzibar, wao wanasoma vitabu na wasifikiri kuwa Ikulu ya Zanzibar itaongozwa na mtu anayeutaka urais wa kwenye vitabu, haiwezekani, Muungano hautavunjika na wanaowaza hivyo wanapaswa kujiuliza mara mbili kinachowapeleka huko ni nini.” — Balozi Ali A. Karume
 
Now we are talking!

tumblr_m5p6roTtQP1qdlh1io1_r1_400.gif
 
"Wanaofikiria kuwa Muungano utavunjika hawajui historia ya Zanzibar, wao wanasoma vitabu na wasifikiri kuwa Ikulu ya Zanzibar itaongozwa na mtu anayeutaka urais wa kwenye vitabu, haiwezekani, Muungano hautavunjika na wanaowaza hivyo wanapaswa kujiuliza mara mbili kinachowapeleka huko ni nini." - Balozi Ali A. Karume
 
Last edited by a moderator:
Karume auota urais 2015


na Christopher Nyenyembe, Zanzibar

BALOZI Ali Abeid Aman Karume amesema kuwa yupo tayari kujiingiza kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2015 kwa tiketi ya CCM akitegemea kumrithi, Rais Jakaya Kikwete, kwa kuwa ni haki yake kikatiba na kwamba anaamini kwamba ana uwezo wa kufanya hivyo.


Karume ambaye ni ndugu wa Rais msataafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume alitoa kauli hiyo mjini hapa alipoulizwa na waandishi wa habari.


"Inshallah swali hilo mlilouliza ni zuri, Mwenyezi Mungu akinijalia uhai nitaingia kwenye mchakato huo.


Hiyo ni haki yangu kikatiba, naheshimu utulivu na demokrasia ya nchi hii ni kubwa ambayo haina mfano wa kuigwa na nchi nyingine yoyote ya Afrika, Muungano wa kuwa na nchi mbili zinazoendelea kuongozwa bila vurugu hali hiyo tu inanipa matumaini makubwa," alisema Balozi Karume.


Akizungumza kwa kujiamini, alieleza kujivunia na kwa kiwango cha juu cha ujenzi wa demokrasia ya kweli ndani ya taifa na misingi bora ya utawala iliyoasisiwa na viongozi wake (Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Aman Karume aliyekuwa rais wa kwanza wa Zanzibar).


Alisema kuwa ana kila sababu ya kugombea urais mwaka 2015, akiamini kuwa uwezo anao na chama chake cha CCM hakiwezi kumwekea mizengwe kwa kuwa muda ukifika ni haki ya kila mtu mwenye dhamira ya kufanya hivyo.


Alipoulizwa kuhusu hali ya Zanzibar na matukio yanayoendelea kutokea hasa kuhusu vuguvugu la kikundi cha wana Uamsho na hoja yao ya kutaka Muungano uvunjike kwa madai yanayoendelea kutolewa kuwa wanataka kujitenga na Watanganyika, alisema: "Wanaofikiria kuwa Muungano utavunjika hawajui historia ya Zanzibar, wao wanasoma vitabu na wasifikiri kuwa Ikulu ya Zanzibar itaongozwa na mtu anayeutaka urais wa kwenye vitabu, haiwezekani, Muungano hautavunjika na wanaowaza hivyo wanapaswa kujiuliza mara mbili kinachowapeleka huko ni nini," alihoji Karume.


Source: http://freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=37339
 
karume auota urais 2015


na christopher nyenyembe, zanzibar

balozi ali abeid aman karume amesema kuwa yupo tayari kujiingiza kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mwaka 2015 kwa tiketi ya ccm akitegemea kumrithi, rais jakaya kikwete, kwa kuwa ni haki yake kikatiba na kwamba anaamini kwamba ana uwezo wa kufanya hivyo.


Karume ambaye ni ndugu wa rais msataafu wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar, dk. Amani abeid karume alitoa kauli hiyo mjini hapa alipoulizwa na waandishi wa habari.


"inshallah swali hilo mlilouliza ni zuri, mwenyezi mungu akinijalia uhai nitaingia kwenye mchakato huo.


Hiyo ni haki yangu kikatiba, naheshimu utulivu na demokrasia ya nchi hii ni kubwa ambayo haina mfano wa kuigwa na nchi nyingine yoyote ya afrika, muungano wa kuwa na nchi mbili zinazoendelea kuongozwa bila vurugu hali hiyo tu inanipa matumaini makubwa," alisema balozi karume.


Akizungumza kwa kujiamini, alieleza kujivunia na kwa kiwango cha juu cha ujenzi wa demokrasia ya kweli ndani ya taifa na misingi bora ya utawala iliyoasisiwa na viongozi wake (baba wa taifa, mwalimu julius nyerere na abeid aman karume aliyekuwa rais wa kwanza wa zanzibar).


Alisema kuwa ana kila sababu ya kugombea urais mwaka 2015, akiamini kuwa uwezo anao na chama chake cha ccm hakiwezi kumwekea mizengwe kwa kuwa muda ukifika ni haki ya kila mtu mwenye dhamira ya kufanya hivyo.


Alipoulizwa kuhusu hali ya zanzibar na matukio yanayoendelea kutokea hasa kuhusu vuguvugu la kikundi cha wana uamsho na hoja yao ya kutaka muungano uvunjike kwa madai yanayoendelea kutolewa kuwa wanataka kujitenga na watanganyika, alisema: "wanaofikiria kuwa muungano utavunjika hawajui historia ya zanzibar, wao wanasoma vitabu na wasifikiri kuwa ikulu ya zanzibar itaongozwa na mtu anayeutaka urais wa kwenye vitabu, haiwezekani, muungano hautavunjika na wanaowaza hivyo wanapaswa kujiuliza mara mbili kinachowapeleka huko ni nini," alihoji karume.


source: Karume auota urais 2015

vipi yale mambo yake ya ubakaji yaliishia vipi???
 
Haya wavunja muungano mtoto wa former president wa zanzibar huyo. Hakuna kuvunja muungano msimtukane kama ilivo kawaida yenu
"Wanaofikiria kuwa Muungano utavunjika hawajui historia ya Zanzibar, wao wanasoma vitabu na wasifikiri kuwa Ikulu ya Zanzibar itaongozwa na mtu anayeutaka urais wa kwenye vitabu, haiwezekani, Muungano hautavunjika na wanaowaza hivyo wanapaswa kujiuliza mara mbili kinachowapeleka huko ni nini." - Balozi Ali A. Karume
 
Huyu Ali Abeid Aman Karume ana tamaa mno ya kutawala .... kama 'le mutuz' vile.. Typical of wazaliwa wa watawala. Bila kutawala hana amani (pamoja na kwamba jina la baba yake ni aman)
 
UAMSHO hawajamsikia na kwa jinsi ndugu zetu hao wanavyowafukuza Wakristo na wabaraz Rais mwenye kudhubutu km Komamdoo ndo anatakiwa kutawala
 
Kaka yake Amani Karume ukuacha mbali dhulma kubwa na Ufisadi wa nje nje, ujenzi mahoteli yake kote kisiwani mpaka makaburini, pia ndio mlezi wa kweli wa vikundi vinavyotaka kuvunja Muungano
 
"Wanaofikiria kuwa Muungano utavunjika hawajui historia ya Zanzibar, wao wanasoma vitabu na wasifikiri kuwa Ikulu ya Zanzibar itaongozwa na mtu anayeutaka urais wa kwenye vitabu, haiwezekani, Muungano hautavunjika na wanaowaza hivyo wanapaswa kujiuliza mara mbili kinachowapeleka huko ni nini." - Balozi Ali A. Karume

Alikuwa kisha lewa? anajulikana kwa ulevi na pia anaogopa mashtaka ya mauaji aliyofanya wakati wa udikteta wa baba'ke.

Ali Karume, sidhani kama Waunguja wenzako wamesahau mauaji hayo.
 
Back
Top Bottom