Mods Tafadhali msihamishe huu ujumbe ingawa inaweza kuwa si mahala pake.
Hii msg nimeipata mahala nikaona niilete hapa jf kwa great thinkers kwani ina ujumbe mzuri:
'Tupinge Vurugu Za Kidini.
Waislamu, Wakristu, Wenye dini Zingine na Wasio na Dini Sote Ni Ndugu.
Tunapoadhimisha siku hii ya Mwalimu Nyerere tumuenzi kwa kuungana pamoja kupinga unyanyasaji Wa dini yoyote na tuachane na vurugu zozote za kidini ambazo Matokeo yake zinaweza kuleta vita visivyo na mwisho na kusambaratisha taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania. Tafadhali tuma msg hii kwa watu 10 uwapendao wa dini zote.
Hii msg nimeipata mahala nikaona niilete hapa jf kwa great thinkers kwani ina ujumbe mzuri:
'Tupinge Vurugu Za Kidini.
Waislamu, Wakristu, Wenye dini Zingine na Wasio na Dini Sote Ni Ndugu.
Tunapoadhimisha siku hii ya Mwalimu Nyerere tumuenzi kwa kuungana pamoja kupinga unyanyasaji Wa dini yoyote na tuachane na vurugu zozote za kidini ambazo Matokeo yake zinaweza kuleta vita visivyo na mwisho na kusambaratisha taifa letu.
Mungu ibariki Tanzania. Tafadhali tuma msg hii kwa watu 10 uwapendao wa dini zote.