Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
"Ukiona matatizo kwa wananchi wako yanaongezeka siku hadi siku, ujue uongozi una matatizo makubwa kiutendaji, mzizi wa matatizo unazalisha hasira na chuki dhidi ya serikali na kinachofuata ni vita kubwa kutoka kwa wananchi ambao hawatakuamini tena na kuona kwamba hata wakikupa nafasi huwezi kuwatatulia matatizo yao...."
"Na bila ushawishi watakuwa tayari kupigania haki kwa njia za kidhalimu. Pia kiongozi ufahamu kuwa wananchi wako wakiwa huru na moyo wako unakuwa huru"
(najua tu watu wa CCM wataniona mimi mwehu)
Source: Barua ya Wasomaji (kwa mujibu wa Makinda) inayoitwa Majira Jumapili
"Na bila ushawishi watakuwa tayari kupigania haki kwa njia za kidhalimu. Pia kiongozi ufahamu kuwa wananchi wako wakiwa huru na moyo wako unakuwa huru"
(najua tu watu wa CCM wataniona mimi mwehu)
Source: Barua ya Wasomaji (kwa mujibu wa Makinda) inayoitwa Majira Jumapili