Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

Hamna daktari Mzuri wa ngozi Tanzania kama unabisha waulize Wizara ya Afya wakati wanamuhangaikia Mwakyembe na walipokosa kabisa ikabidi wampeleke India.:rockon::rockon::rockon::rockon:

mkuu wapo madaktari bingwa wa Ngozi hapo Dar, wamesoma masters ya Dermatoveneriology inayotolewa na chuo cha KCMC, kwa hapo Dar wapo wawili, Dr Elly Mosha huyu dada yupo Muhimbili na ameajiriwa pale upande wa chuo na kuna Dr Lijah, yeye yupo TACAIDS ila ninajua anaendesha clinic ya kutibu ngozi pale Tanzania Heart Institute Kinondoni, unaweza kufika pale na kuulizia ni lini anakuwepo, sina ratiba yake.
 
kama zikishindikana hizo zote kuna hospitali ya wamama na watoto sikumbuki inaitwaje ipo njiani ukiwa unaelekea mbagala kuu mwanangu alipata dawa pale na zilimsaidia, hiyo hosp ni ya masister wanasema ni maarufu sana.
 
kama zikishindikana hizo zote kuna hospitali ya wamama na watoto sikumbuki inaitwaje ipo njiani ukiwa unaelekea mbagala kuu mwanangu alipata dawa pale na zilimsaidia, hiyo hosp ni ya masister wanasema ni maarufu sana.
nadhani inaitwa kwa buruda.
 
Mtafute huyu wa TACAIDS anaitwa Dokta Gisenge Ilambo na Lijah ni kalumanzila (mtani wangu) wa kule Bitare an kliniki pia pale farbec Manzese (siku sikumbuki), tatizo lake hapendi uchakachuzi yaani anakupa dawa halafu unaongezea na zile za wachi..a.
 
Mtafute Dr. Mgonda wa IMTU. Alikuwa Senior Lecturer wa MUHAS (miaka mitatu iliyopita) na walipo m-frustrate kwa kuona wenzake wanamegeana uprofesa huku yeye akirukwa akaamua kwenda IMTU. Huwa ana clinic pale Aga Khan na Regency. He is a "very very" good dermatologist.
 
madaktari naomba mnisaidie katika hili. Nina ugonjwa wa ngozi takribani miaka kumi sasa ugonjwa huu hujitokeza kama vipele na kisha kukauka. Nimefika hospitali mbalimbali kwa matibabu bila mafanikio. Nilifika Bugando nikapewa dawa sikuona badiliko. Mawenzi hospital, Sekou toure na Agha Kan pia bila ya mafanikio.Naombeni msaada wa kitabibu nitumie dawa gani ili niondokane na tatizo hili maana nakereka sana. Natanguliza shukrani.
 
Pole sana Mkuu,

Nakushauri mtafute huyu Dr ni specialist wa ngozi mzuri sana amewahi kusaidia watu wengi ninaowafahamu. Ana kliniki yake mbezi beach. Namba yake -
+255784401023. Naamini atakusaidia. Pole sana


madaktari naomba mnisaidie katika hili. Nina ugonjwa wa ngozi takribani miaka kumi sasa ugonjwa huu hujitokeza kama vipele na kisha kukauka. Nimefika hospitali mbalimbali kwa matibabu bila mafanikio. Nilifika Bugando nikapewa dawa sikuona badiliko. Mawenzi hospital, Sekou toure na Agha Kan pia bila ya mafanikio.Naombeni msaada wa kitabibu nitumie dawa gani ili niondokane na tatizo hili maana nakereka sana. Natanguliza shukrani.
 
Natumai mu wazima wadau.

Ninatafuta daktari mzuri wa ngozi kwa hapa Dar wapendwa, mwanangu anasumbuliwa na ugonjwa wa ngozi anawashwa sana na kutoka vipele kwenye miguu na mikono,nimepeleka Agakhan kwa dr Mgondah anasema ni wadudu, kampa dawa ya kunywa na kupaka imeisha tatizo liko pale pale,sasa najiuliza wadudu kivipi mbona hawamuumi usoni..

mwenye kujua daktari mwingine please msaada.
 
nenda kariakoo dispensary mtaa wa swahili na narung'ombe pale kariakoo siku ya jumamosi sa tatu asubuhi utani-pm nikupe namba yangu ya simu nina uhakika utapona 100%
 
nenda kariakoo dispensary mtaa wa swahili na narung'ombe pale kariakoo siku ya jumamosi sa tatu asubuhi utani-pm nikupe namba yangu ya simu nina uhakika utapona 100%
Kazi kweli kweli na tiba to PM tena wagonjwa wako wemgi we weka mambo yko wazi bana .....au maruhani ya kuzuia kuwa muwazi!
 
uko kwenye miguu na unawasha kwelikwel nishatumia dawa kibao lakni sioni mabadiliko alafu ukionesha dalili ya kupona unaleta weusi fulani so jaman msaada tafadhali
 
nenda Tanzania Heart institute pale kinondoni yupo Dr Lijah, ama muhimbili yupo Dr Elly, hawa ni wataalam wa magonjwa ya ngozi toka chuo pekee Tanzania, KCMC.
 
nenda kariakoo dispensary mtaa wa swahili na narung'ombe pale kariakoo siku ya jumamosi sa tatu asubuhi utani-pm nikupe namba yangu ya simu nina uhakika utapona 100%

Weka bayana watu wajue sio unafichaficha we unajua ni wangapi wana matatizo kama hayo au ndo mpk wakupm acha mambo yako bana????
 
Back
Top Bottom