Ujio Wangu Kigoma - shame on our leaders!

salaam,

ni kweli kuwa kigoma imekuwa nyuma muda mrefu sana toka taifa limepata uhuru. Mkoa mzima wa kigoma umekuwa hauna miundombinu ya uhakika tofauti na reli aliyojenga mjerumani. Mkoa umekuwa ukipokea wakimbizi kwa muda mrefu sana. Maji yamekuwa ni shida, barabara na umeme. Biashara haijachangamka sana licha ya kuwa na bandari. Hata hivyo haina maana kuwa tumekaa kimya bila kufanya lolote


  1. hivi sasa kuna miradi mikubwa miwili ya barabara (mwandiga - manyovu inayounganisha mji wa kigoma na mji wa bujumbura na kisha uvira (drc) na ile ya kigoma - kidahwe kama sehemu ya barabara ya kigoma - tabora. Miradi hii itaunganisha kigoma na nchi za kongo na burundi na hivyo kukuza biashara.
  2. eneo lote la kigoma ujiji pamoja na sehemu za kigoma vijijini hivi sasa ni special economic zone. Mwezi wa saba tra wametoa leseni maalumu ambapo sasa kigoma itakuwa ni destination port na hivyo kuongeza biashara na kutengeneza ajira.
  3. bandari ndogo ya kagunga inajengwa na soko ili kuongeza biashara katika mpaka wa kagunga na burundi.
  4. miradi ya maji mingi sasa imeanza kutekekelezwa katika maeneo ya vijijini. Eu water facility iligharamia mradi wa maji katika vijiji 5 na hivi sasa worldbank imetoa kazi inayofanywa na kampuni ya redeco gmbh ya ujerumani kwa miradi ya vijiji 10 katika wilaya ya kigoma. Nordic fund inagharamia mradi wa maji wa manispaa ya kigoma.
  5. mcc inajenga mrado wa umeme malagarasi ambao utakamilika mwaka 2012 na kuweza kumaliza tatizo la umeme katika mji wa kigoma na mji wa kasulu.
  6. tumejenga shule kata zote. Baadhi ya vijiji kama kalinzi, nyarubanda, mukigo, matizo vina shule mbili za sekondari.
ni kweli kuwa kigoma tupo nyuma sana. Lakini ikumbukwe kuwa hatujawahi kuomba chakula toka nchi ipate uhuru yaani kigoma haijawahi kuwa na njaa. Tunajilisha wenyewe na kuuza ziada nchi jirani.

Kwa vyovyote vile maendeleo ya kigoma ambayo imekuwa marginalized kwa miaka mingi (kumbukeni kigoma ilikuwa ni chanzo cha manamba) hayawezi kutokea kwa kulipuka tu. Inahitajika kazi kubwa sana na ya ziada. Tunajitahidi.
Ndio maana mkoa wa kigoma haujawahi kuipa ccm zaidi ya 60% katika kura za wabunge. Mwaka 2005 national avarage ilikuwa 69% na kwa kigoma ccm walipata 58% (10% below national avarage). Huu ni ujumbe tosha kuwa watu wa kigoma tumechoshwa na kuwa marginalized.
Tunajiamini kuwa tutavuka viunzi hivi. Tunajiamiin kuwa tutaweza kushindana ndani ya tanzania. Kwa kuwa tumeweza kujilisha miaka yote hii, tutaweza kushinda changamoto za maendeleo.

welldone bwana zitto tunataka kuona kigoma inabadilika ,kigoma iwe kigoma yenyewe kuna ziwa kule ambalo na lenyewe ni kitega uchumi kizuri tu raia wasikumbuke habari za manamba tena iwe historia ,raia waamini wale viongozi waliowapa kura zao hawakukosea

tumechoka kila siku kulia ooh nchi ooh kigoma ooh too much
 
Mh.Zitto,umezungumzia sana mambo ya hivi sasa,lakini huko nyuma kabla ya upinzani shida ilikuwa nini?Na hivi ni kweli Kigoma iko nyuma kiasi cha kwamba ni masikini kuliko Mtwara,Lindi,Kagera,Tanga etc na mikoa mingine ambayo hata kwa kuangalia idadi ya vijana wanaokimbilia DSM utajua tu kuwa huko watokako hali si nzuri?
Salaam,

Ni kweli kuwa Kigoma imekuwa nyuma muda mrefu sana toka Taifa limepata uhuru. Mkoa mzima wa Kigoma umekuwa hauna miundombinu ya uhakika tofauti na Reli aliyojenga Mjerumani. Mkoa umekuwa ukipokea wakimbizi kwa muda mrefu sana. Maji yamekuwa ni shida, Barabara na Umeme. Biashara haijachangamka sana licha ya kuwa na Bandari. Hata hivyo haina maana kuwa tumekaa kimya bila kufanya lolote


  1. Hivi sasa kuna miradi mikubwa miwili ya barabara (Mwandiga - Manyovu inayounganisha mji wa Kigoma na Mji wa Bujumbura na kisha Uvira (DRC) na ile ya Kigoma - Kidahwe kama sehemu ya barabara ya Kigoma - Tabora. Miradi hii itaunganisha Kigoma na nchi za KONGO na Burundi na hivyo kukuza biashara.
  2. Eneo lote la Kigoma Ujiji pamoja na sehemu za Kigoma Vijijini hivi sasa ni Special Economic Zone. Mwezi wa saba TRA wametoa leseni maalumu ambapo sasa Kigoma itakuwa ni destination port na hivyo kuongeza biashara na kutengeneza ajira.
  3. Bandari ndogo ya Kagunga inajengwa na soko ili kuongeza biashara katika mpaka wa Kagunga na Burundi.
  4. Miradi ya Maji mingi sasa imeanza kutekekelezwa katika maeneo ya vijijini. EU water Facility iligharamia mradi wa maji katika vijiji 5 na hivi sasa WorldBank imetoa kazi inayofanywa na Kampuni ya redeco gmbh YA Ujerumani kwa miradi ya vijiji 10 katika Wilaya ya Kigoma. Nordic fund inagharamia mradi wa maji wa Manispaa ya Kigoma.
  5. MCC inajenga mrado wa umeme Malagarasi ambao utakamilika mwaka 2012 na kuweza kumaliza tatizo la umeme katika mji wa Kigoma na mji wa Kasulu.
  6. Tumejenga shule kata zote. Baadhi ya Vijiji kama Kalinzi, Nyarubanda, Mukigo, Matizo vina shule mbili za sekondari.
Ni kweli kuwa Kigoma tupo nyuma sana. Lakini ikumbukwe kuwa hatujawahi kuomba chakula toka nchi ipate uhuru Yaani Kigoma haijawahi kuwa na njaa. Tunajilisha wenyewe na kuuza ziada nchi jirani.

Kwa vyovyote vile maendeleo ya Kigoma ambayo imekuwa marginalized kwa miaka mingi (kumbukeni Kigoma ilikuwa ni chanzo cha manamba) hayawezi kutokea kwa kulipuka tu. Inahitajika kazi kubwa sana na ya ziada. Tunajitahidi.
Ndio maana mkoa wa Kigoma haujawahi kuipa CCM zaidi ya 60% katika kura za wabunge. Mwaka 2005 national avarage ilikuwa 69% na kwa Kigoma CCM walipata 58% (10% below national avarage). Huu ni ujumbe tosha kuwa watu wa Kigoma tumechoshwa na kuwa marginalized.
Tunajiamini kuwa tutavuka viunzi hivi. Tunajiamiin kuwa tutaweza kushindana ndani ya Tanzania. Kwa kuwa tumeweza kujilisha miaka yote hii, tutaweza kushinda changamoto za maendeleo.
 
Hivi tofauti na mikoa ya Mwanza, Dar es salaam, Arusha na Kilimanjaro ''Chigoma'' inatofauti gani na mikoa mingine ya Tanzania yetu hii na uongozi wa CCM!!!!?
 
Naona hili swala waje wanazi wa chama Tawala walijibu kwa nn toka uhuru wameshindwa kupeleka maendeleo Kigoma? Wasilete maswala ya siasa mdomoni.
 
Salaam,

Ni kweli kuwa Kigoma imekuwa nyuma muda mrefu sana toka Taifa limepata uhuru. Mkoa mzima wa Kigoma umekuwa hauna miundombinu ya uhakika tofauti na Reli aliyojenga Mjerumani. Mkoa umekuwa ukipokea wakimbizi kwa muda mrefu sana. Maji yamekuwa ni shida, Barabara na Umeme. Biashara haijachangamka sana licha ya kuwa na Bandari. Hata hivyo haina maana kuwa tumekaa kimya bila kufanya lolote


  1. Hivi sasa kuna miradi mikubwa miwili ya barabara (Mwandiga - Manyovu inayounganisha mji wa Kigoma na Mji wa Bujumbura na kisha Uvira (DRC) na ile ya Kigoma - Kidahwe kama sehemu ya barabara ya Kigoma - Tabora. Miradi hii itaunganisha Kigoma na nchi za KONGO na Burundi na hivyo kukuza biashara.
  2. Eneo lote la Kigoma Ujiji pamoja na sehemu za Kigoma Vijijini hivi sasa ni Special Economic Zone. Mwezi wa saba TRA wametoa leseni maalumu ambapo sasa Kigoma itakuwa ni destination port na hivyo kuongeza biashara na kutengeneza ajira.
  3. Bandari ndogo ya Kagunga inajengwa na soko ili kuongeza biashara katika mpaka wa Kagunga na Burundi.
  4. Miradi ya Maji mingi sasa imeanza kutekekelezwa katika maeneo ya vijijini. EU water Facility iligharamia mradi wa maji katika vijiji 5 na hivi sasa WorldBank imetoa kazi inayofanywa na Kampuni ya redeco gmbh YA Ujerumani kwa miradi ya vijiji 10 katika Wilaya ya Kigoma. Nordic fund inagharamia mradi wa maji wa Manispaa ya Kigoma.
  5. MCC inajenga mrado wa umeme Malagarasi ambao utakamilika mwaka 2012 na kuweza kumaliza tatizo la umeme katika mji wa Kigoma na mji wa Kasulu.
  6. Tumejenga shule kata zote. Baadhi ya Vijiji kama Kalinzi, Nyarubanda, Mukigo, Matizo vina shule mbili za sekondari.
Ni kweli kuwa Kigoma tupo nyuma sana. Lakini ikumbukwe kuwa hatujawahi kuomba chakula toka nchi ipate uhuru Yaani Kigoma haijawahi kuwa na njaa. Tunajilisha wenyewe na kuuza ziada nchi jirani.

Kwa vyovyote vile maendeleo ya Kigoma ambayo imekuwa marginalized kwa miaka mingi (kumbukeni Kigoma ilikuwa ni chanzo cha manamba) hayawezi kutokea kwa kulipuka tu. Inahitajika kazi kubwa sana na ya ziada. Tunajitahidi.
Ndio maana mkoa wa Kigoma haujawahi kuipa CCM zaidi ya 60% katika kura za wabunge. Mwaka 2005 national avarage ilikuwa 69% na kwa Kigoma CCM walipata 58% (10% below national avarage). Huu ni ujumbe tosha kuwa watu wa Kigoma tumechoshwa na kuwa marginalized.
Tunajiamini kuwa tutavuka viunzi hivi. Tunajiamiin kuwa tutaweza kushindana ndani ya Tanzania. Kwa kuwa tumeweza kujilisha miaka yote hii, tutaweza kushinda changamoto za maendeleo.

Mh. Zito,

Asante kwa mchango wako hapo juu ila kumbuka pia kwamba yote hayo uliyoyataja ni katika kuongeza kipato na pato la Kigoma, tuliite hili 'Pesa' Lakini kaa ukijua kwamba Wanakigoma naoma nitumie msemo mmoja wa kiingereza usemao: " Health is wealth". Utajenga mabarabara, na miundombinu ming tu lakini kama afya ya wanakigoma ni mbovu basi ni sawa na kubeba maji kwa kutumia tenga.

That said, kujenga shule kila kata si suluhisho kama hakuna walimu waliofuzu na wenye kulipwa vizuri {enzi za sera za walimu ni wito zilishazikwa zamani], Kushindwa kusambaza maji safi na ziwa la maji baridi limezunguka mji huu na vijiji vyake ni usaliti kwa wakazi wa Kigoma.

Uboreshaji wa reli ya kati na kuiunganisha Kigoma katika 'gridi' ya taifa ni la msingi zaidi kwani hata ukipata wafadhiri wa kukufungia mitambo ya kusukuma na kusambaza maji bado gharama za kutumia nishati ya mafuta zitakuwa juu.

Mh. suala la manamba kama wazee wa ujiji walivyonielezea walikuwa wakipitia hapo Kigoma kutoka huko mashariki ya Kongo lakini tuache hilo, sasa ni karne zaidi ya moja tangu biashara ya utumwa itokomezwe dunia[ ingawa sasa hivi kuna human traffiking ambayo haiwezi kufikia ile ya utumwa in scale] kwa hiyo hili mimi hili la manamba et al naliona kana 'lame excuse.

Shadow.


Mwisho viongozi wa taifa hili wanatakiwa kuwaomba msamaa wanakigoma na kuanza kufuta makosa yao na yale waliyoyarithi. Nasema Kigoma ya mjerumani is far better that Kigoma ya URT
 
Mh. Zito,

Asante kwa mchango wako hapo juu ila kumbuka pia kwamba yote hayo uliyoyataja ni katika kuongeza kipato na pato la Kigoma, tuliite hili 'Pesa' Lakini kaa ukijua kwamba Wanakigoma naoma nitumie msemo mmoja wa kiingereza usemao: " Health is wealth". Utajenga mabarabara, na miundombinu ming tu lakini kama afya ya wanakigoma ni mbovu basi ni sawa na kubeba maji kwa kutumia tenga.

That said, kujenga shule kila kata si suluhisho kama hakuna walimu waliofuzu na wenye kulipwa vizuri {enzi za sera za walimu ni wito zilishazikwa zamani], Kushindwa kusambaza maji safi na ziwa la maji baridi limezunguka mji huu na vijiji vyake ni usaliti kwa wakazi wa Kigoma.

Uboreshaji wa reli ya kati na kuiunganisha Kigoma katika 'gridi' ya taifa ni la msingi zaidi kwani hata ukipata wafadhiri wa kukufungia mitambo ya kusukuma na kusambaza maji bado gharama za kutumia nishati ya mafuta zitakuwa juu.

Mh. suala la manamba kama wazee wa ujiji walivyonielezea walikuwa wakipitia hapo Kigoma kutoka huko mashariki ya Kongo lakini tuache hilo, sasa ni karne zaidi ya moja tangu biashara ya utumwa itokomezwe dunia[ ingawa sasa hivi kuna human traffiking ambayo haiwezi kufikia ile ya utumwa in scale] kwa hiyo hili mimi hili la manamba et al naliona kana 'lame excuse.

Shadow.


Mwisho viongozi wa taifa hili wanatakiwa kuwaomba msamaa wanakigoma na kuanza kufuta makosa yao na yale waliyoyarithi. Nasema Kigoma ya mjerumani is far better that Kigoma ya URT

Right things first!

Ukianza na afya watasema, hapana madaktari watatoka wapi. Kwanza appreciate what is being done now.

Sikubaliani na wewe kuwa Kigoma ya Mjerumani ilikuwa bora kuliko hii. Hayo ni matusi dhidi ya Wazee wetu waliopigana dhidi ya ukoloni. Yaani unasema kutawaliwa ni bora kuliko kujitawala?

Changamoto ni nyingi sana. Umasikini ni mkubwa sana kwa watu. Sio Kigoma tu, maeneo mengi sana ya Tanzania. Suluhisho ni nini? Kila mtu atimize wajibu wake. Maelezo yako hapa ninayachukua kama changamoto. Maana jukumu lako kwa sasa ni kusema pale unapoona hapaendi sawa na jukumu langu ni kuhakikisha haya unayoyasema ninayafikisha pahala stahili maana mimi sio mtendaji ingawa ninaweza kuwa nina influence kwa watendaji. Ukilaumu tu kwa kutafuta mchawi hatutafika. Tumeshasema sana sana. Na unajua sisi watu wa Kigoma kwa kusema................! Tulio kwenye nafasi tunajitahidi kutenda sasa. Tusahihishe! Tupe moyo! Tuonye!
 
Shadow,FirstLady1,Katabazi,MwanaCBE,Zitto,

..kuna jamaa wa Kigoma Social Develepoment Fund[KISEDEFU] walikuwa wanajaribu kuwakusanya wana-Kigoma kushughulikia matatizo ya mkoa wao.

..sijui juhudi za taasisi hiyo zilipokelewa vipi na wana-Kigoma, na zimesaidia kwa kiwango gani kupunguza makali ya maisha kwa wananchi wa Kigoma.

..unaweza kutembelea website ya KISEDEFU kwa kubonyeza hapa.
 
Mh.Zitto,umezungumzia sana mambo ya hivi sasa,lakini huko nyuma kabla ya upinzani shida ilikuwa nini?Na hivi ni kweli Kigoma iko nyuma kiasi cha kwamba ni masikini kuliko Mtwara,Lindi,Kagera,Tanga etc na mikoa mingine ambayo hata kwa kuangalia idadi ya vijana wanaokimbilia DSM utajua tu kuwa huko watokako hali si nzuri?

Wilaya tatu zinazoongoza kwa umasikini Tanzania ni Geita, Bunda na Musoma Vijijini kwa mtiririko huo (PHDR 2007).

Tuna changamoto za ujumla kama nchi na wala sio vipande vya nchi peke yake. Kuna maeneo ya Kilimanjaro ni masikini zaidi kuliko Marangu! Unaweza amini kuwa 50% ya nyumba za Dar es Salaam hazina umeme? Kwamba 27% ya watu wa Dar wanapata maji safi na salama? Hapo hapo, masikini anayenunua maji kwa madumu analipa maji mara 15 zaidi ya mtu wa masaki anayepata maji ya Dawasco........!!!!!!!!!!!!!

Taifa letu lina changamoto kubwa sana. Hatuzielezi na viongozi hatuwajibishwi kutokana na changamoto hizi. Hili ndio tatizo.

Umewahi iona Dar mvua ikinyesha siku nzima? 7% tu ya Dar ndiyo yenye drainage system.......................

Ni nchi nzima mzee!
 
Wilaya tatu zinazoongoza kwa umasikini Tanzania ni Geita, Bunda na Musoma Vijijini kwa mtiririko huo (PHDR 2007).

Tuna changamoto za ujumla kama nchi na wala sio vipande vya nchi peke yake. Kuna maeneo ya Kilimanjaro ni masikini zaidi kuliko Marangu! Unaweza amini kuwa 50% ya nyumba za Dar es Salaam hazina umeme? Kwamba 27% ya watu wa Dar wanapata maji safi na salama? Hapo hapo, masikini anayenunua maji kwa madumu analipa maji mara 15 zaidi ya mtu wa masaki anayepata maji ya Dawasco........!!!!!!!!!!!!!

Taifa letu lina changamoto kubwa sana. Hatuzielezi na viongozi hatuwajibishwi kutokana na changamoto hizi. Hili ndio tatizo.

Umewahi iona Dar mvua ikinyesha siku nzima? 7% tu ya Dar ndiyo yenye drainage system.......................

Ni nchi nzima mzee!

True to that.

Bila Kigoma, Urambo, Geita, Karatu, Pemba, TMK etc hauna Tanzania.
 
. Sasa kuna jambo moja ambalo limenitatiza na kunitia simanzi na sijui nimfikishie nani kwani siwezi kulimwaga hapa kwenye 'kuku wengi' [Ashakum! Nimetumia tamathali za semi] mpaka pale wakati muhafaka utakapokuwa umetimia na kupata the 'right person' who can handle this sensitive info.

Kwa mara nyingine tena poleni ndugu zanguni wanaKigoma.

Wasalaam,

Shadow.

Wegine huwa mnakuwa na malengo mazuri ila mnaharibu sehemu ndogo sana,Huwa hamjui malengo ya JF!!!
Hakuna umbeya hapa ebu nikukumbushe!!



UKISHINDWA usipost, kaa soma akina Shigongo, huku ukionea huruma watanzania wengine woote sio Kigoma tu, anza na DSM kwenye slums kibao!na utaona afadhali Kigoma ati!!

True to that.

Bila Kigoma, Urambo, Geita, Karatu, Pemba, TMK etc hauna Tanzania.

LOL! TRUE!
 
Edo,

..jaribu kwenda www.kigomafund.org.

..kuna pages ambazo bado ziko "under construction" lakini wamejaribu kuchambua matatizo na changamoto za maendeleo za mkoa mzima wa Kigoma.

..ndiyo maana nimeuliza: wamefikia wapi? je, wameungwa mkono na wana-Kigoma wenzao?
 
Kigoma ni swala la wakati tu, soon mabadiliko makubwa yanakuja. Pamoja na changamoto zinazoikabili kigoma lakini bado ina potential nyingi za mabadiliko na pia si kweli kuwa ina hali mbaya kama shadow anavyo jaribu kumaanisha. Labda kama anailinganisha Kigoma na Ilala sawa, lakini kama anailinganisha na wilaya zingine Tanzania, he is very wrong!!

Wakati yeye ametembelea kwa muda mfupi kama mtalii, mimi nimezaliwa kule, na baadae nimefanya kazi kule, nimetembelea sehem nyingi, wilaya zote, hasa vijijini. Kwa wastani wananchi wa kigoma swala la njaa wanalisikia kwenye vyombo vya habari,
Hicho unachosema ni siri kiseme sasa, otherwise unapingana na kauli mbiu ja JF - Where we dare to talk openly.
 
Mh. Zitto Kabwe na wengine,baada ya kuyasikia yote yaliyosemwa nimpepatwa na hamu nimeona nikiwa Tanzania likizo-next week ,nipitie Kigoma. Naomba mwenye kujua njia rahisi ya rahisi ya kwenda Kasulu kutokea DSM(sio kwa train).Na je uwanja wa ndege uko Kigoma mjini? i.e ni rahisi kwenda na ndege ukaenda Kasulu?
Kuna siku itafika Tanzania tutapata wagawa cake kwa usawa.

Wilaya tatu zinazoongoza kwa umasikini Tanzania ni Geita, Bunda na Musoma Vijijini kwa mtiririko huo (PHDR 2007).

Tuna changamoto za ujumla kama nchi na wala sio vipande vya nchi peke yake. Kuna maeneo ya Kilimanjaro ni masikini zaidi kuliko Marangu! Unaweza amini kuwa 50% ya nyumba za Dar es Salaam hazina umeme? Kwamba 27% ya watu wa Dar wanapata maji safi na salama? Hapo hapo, masikini anayenunua maji kwa madumu analipa maji mara 15 zaidi ya mtu wa masaki anayepata maji ya Dawasco........!!!!!!!!!!!!!

Taifa letu lina changamoto kubwa sana. Hatuzielezi na viongozi hatuwajibishwi kutokana na changamoto hizi. Hili ndio tatizo.

Umewahi iona Dar mvua ikinyesha siku nzima? 7% tu ya Dar ndiyo yenye drainage system.......................

Ni nchi nzima mzee!
 
Wilaya tatu zinazoongoza kwa umasikini Tanzania ni Geita, Bunda na Musoma Vijijini kwa mtiririko huo (PHDR 2007).

Tuna changamoto za ujumla kama nchi na wala sio vipande vya nchi peke yake. Kuna maeneo ya Kilimanjaro ni masikini zaidi kuliko Marangu! Unaweza amini kuwa 50% ya nyumba za Dar es Salaam hazina umeme? Kwamba 27% ya watu wa Dar wanapata maji safi na salama? Hapo hapo, masikini anayenunua maji kwa madumu analipa maji mara 15 zaidi ya mtu wa masaki anayepata maji ya Dawasco........!!!!!!!!!!!!!

Taifa letu lina changamoto kubwa sana. Hatuzielezi na viongozi hatuwajibishwi kutokana na changamoto hizi. Hili ndio tatizo.

Umewahi iona Dar mvua ikinyesha siku nzima? 7% tu ya Dar ndiyo yenye drainage system.......................

Ni nchi nzima mzee!

..sasa hapa naanza kukuona una make sense,kweli its very refreshing kuona mtu anaongea kwa data sio blah blah blah,keep it up na hongera sana kwa hiyo project ya umeme wa Malagarasi naamini itakuwa game changer kwa kila kitu Kigoma,unaweza kutupa details za mradi wa malagarasi (capacity MW,hatua ulipofikia,cost na utapitia wapi etc) maana nina interest kubwa sana ya kutaka kujua nini kinaendelea,na nimeshituka sana na hizo data za umeme,drainage system na maji Dar es salaam
 
Mh. Zitto Kabwe na wengine,baada ya kuyasikia yote yaliyosemwa nimpepatwa na hamu nimeona nikiwa Tanzania likizo-next week ,nipitie Kigoma. Naomba mwenye kujua njia rahisi ya rahisi ya kwenda Kasulu kutokea DSM(sio kwa train).Na je uwanja wa ndege uko Kigoma mjini? i.e ni rahisi kwenda na ndege ukaenda Kasulu?
Kuna siku itafika Tanzania tutapata wagawa cake kwa usawa.

Inabidi uzingatie pia kuna mabedui njiani wanaopora abiria kwa kutumia silaha za kivita. Uwanja wa ndege upo Kigoma Manispaa nadhani, na safari ya kwenda Kasulu ni kama mwendo wa masaa 2.5 mpaka 3 kwa gari binafsi.
 
Abdulhalim nashukuru,kuporwa si naweza kuporwa hata hicho kipande cha 3 hrs?Una maana kuna kama 200KM kutoka Kigoma mjini kwenda Kasulu? Hawa mabedui nikisafiri na pesa ambayo niko tayari kuwapa bila ubishi na nguo ambazo niko tayari kuwapa kutakuwa na upotezaji wa maisha? Na je bus linakwenda moja kwa moja Kasulu from DSM?

Inabidi uzingatie pia kuna mabedui njiani wanaopora abiria kwa kutumia silaha za kivita. Uwanja wa ndege upo Kigoma Manispaa nadhani, na safari ya kwenda Kasulu ni kama mwendo wa masaa 2.5 mpaka 3 kwa gari binafsi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom